Kwa mwana JF mwenzetu FORGIVE na wengine wenye matatizo kama yake

Tatizo lako hunishirikishi komredi,

Samahani sana Komredi wangu, next time utapata FULL CO-OPERATION
Niliguswa sana na tukio la huyu binti, ikanibidi niilazimishe CPU ifanye MAXIMUM PROCESSING yenye EXTREME SPEED then inipe jibu kamili la tatizo la huyu mdada
 
na moto wa madhabahu ya mbinguni ukapate kushuka na kuteketeza mipango yote ya ibilisi juu ya binti huyu, damu ya Yesu ikafanyike kuwa uzio katika maisha yake.....Amen
 
na moto wa madhabahu ya mbinguni ukapate kushuka na kuteketeza mipango yote ya ibilisi juu ya binti huyu, damu ya Yesu ikafanyike kuwa uzio katika maisha yake.....Amen
Naomba nikusalimu mpendwa! Vibaya hivyo unavyonitenga!
 
CPU... hili ombi ni zito sana, nakuunga mkono na sisi husema "twakuomba utusikie"

hebu tupe baCKGROUND KIDOGO ILIKUAJE HADI UKACHUKUA HATUA HII YA KUMUOMMBEA FORGIVE?
 
Huyu Forgive kafanya nini maana sioni sababu za kuombewa huo msamaha ikiwa yeye mwenyewe hajakubali. Na ni vyema aombe mwenyewe kwa Mungu wake.

Samahani kama nimewakera.
 
Naomba nikusalimu mpendwa! Vibaya hivyo unavyonitenga!

mpendwa ubarikiwe sana.....nashangaa sana umekuja kupotelea wapi....sielewi....lakini tuombe muda wa bwana ufike ili tuweze kusakata twist tena
 
Huyu Forgive kafanya nini maana sioni sababu za kuombewa huo msamaha ikiwa yeye mwenyewe hajakubali. Na ni vyema aombe mwenyewe kwa Mungu wake.

Samahani kama nimewakera.

Bila shaka hujui kinachoendelea, ungeuliza ufahamishwe
 

eimen
 
Mkuu CPU umefanya njema sana,mbali ya forgive ni kweli kuna wengine kama yeye na hata zaidi yake hapa ila hawajaweka tu wazi.Mungu aliyekuongoza kuandika sala hii atatenda.Ubarikiwe sana mkuu
 
Kwanini ile thread ya FORGIVE imeondolewa?
Any information?
 
Du!
Yaani nilikuwa sijafika mitaa hii muda kidogo sasa naingia tu na thread ya kwanza nakutana na CPU inatema ombi zito likanishutua kama yale mabomu ya Gombs. Jamani nijuzeni huyo FORGIVE alikuwa na shida gani, ili hata nijue hilo bonge la maombi lilikuwa ni kwa ajili gani
 
aliomba mwenyewe iondolewe....nafikiri kuna tatizo limempata!

my dear Michelle, hukuisave mahali? ama niambie kwa PM just a summary what happened manake haya maombi mazito
 
CPU... hili ombi ni zito sana, nakuunga mkono na sisi husema "twakuomba utusikie"

hebu tupe baCKGROUND KIDOGO ILIKUAJE HADI UKACHUKUA HATUA HII YA KUMUOMMBEA FORGIVE?

Huyu Forgive kafanya nini maana sioni sababu za kuombewa huo msamaha ikiwa yeye mwenyewe hajakubali. Na ni vyema aombe mwenyewe kwa Mungu wake.

Samahani kama nimewakera.


Wakuu Gurudumu, bitimkongwe, Janjaweed na wengine ambao hawafahamu

Ni kwamba (Nitaeleza kwa kifupi) huyu binti forgive (25yrs now) aliweka post yake hapa jamvini MMU akiomba apewe msaada ya kimawazo.
Alieleza kwamba aliwahi kubakwa mara mbili ktk kipindi cha miaka 7 iliyopita na watu wawili, mmoja akiwa ni mtu mwenye nyazifa kubwa na mzito kimadaraka (hakumtaja ni nani wala cheo chake). Baada ya kufanyiwa vitendo hivyo vichafu na vya kutisha na hao mashetani, alienda hospital na kugundulika ana mimba ambayo hata hivyo baadaye iligungulika imeharibika na then akapoteza kabisa na uwezo wa kushika mimba tena.

Baada ya matukio hayo akaja kupata kijana ambaye walipendana kwa dhati, akampa masharti ya kutofanya nae mapenzi kwa kuwa hakuwa sawa kiafya. Lakin kila wakiwa pamoja faragha kijana akianza kumpapasa binti, basi binti anaanza kukumbuka yote alivyofanyiwa huko nyuma na anaanza kutetemeka. Mpaka sasa anasema bado hajamwambia huyo kijana kuhusu maisha yake na wala hajaenda hospital kupima kama ameambukizwa virusi au la.

Sasa anauliza amwambie ukweli huyo kijana au la. Na akaomba msaada wowote wa kimawazo.

Wakuu wenzangu tuliosoma ule ujumbe wake, kama kuna sehemu nimekosea ktk maelezo haya tuwekane sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…