Kwa mwana mfalme Dube

Kwa mwana mfalme Dube

Nimesoma waraka ambao umeuandika kwa uchungu mkubwa sana,nami nimeusoma kwa uchungu mkubwa sana.Ni kweli unapitia madhila,matusi,lawama,kejeli,kashfa na kila aina ya masimango.

Nakuhakikishia kuwa kila binadamu amepitia hali hiyo,sio wewe tu,na hata hao wanaokutukana,wamewahi kupitia hali kama hiyo,huo ndio ubinadamu.Jiulize je wewe umewahi kupitia shida au mateso kuliko Joshuo Nkomo?,kuliko Robert Mugabe?

Watu hao walipitia mateso makubwa lakini waliongeza bidii na wakafaulu,ndivyo na wewe nakushauri ufanye,ongeza bidii na kumtumainia Mungu tu,hivi sasa wako wapumbavu wengi sana watakuja kwako kujifanya ndio ma masiha kwako,kwamba wanamjua mganga,sangoma ambae anaweza kukutibu ulivyorogwa,kataaa,ni Mungu pekee ndio atakayekusimamisha na uwashinde hao maadui zako.

Hayo mateso yako yote yageuze yawe fursa kwako,kukuchochea ufanikiwe.Na kwa lugha ya kwenu😛amberi ne chimurenga
Ni ivi kweny maisha yeyote sehem iliyo kupa thaman kpind we unathamani bas pasina shaka ipe naenyw thamani yake kwa kuilipia gharama angalau hata kwa machache ambayo utakayo weza fanya, lakn syo kuondoka kwa kbr na madharau akka utalipwa hapo hapo ndy hii ya dube
 
Dube ni mpumbavu sana.
Amelelewa na kutunzwa vizuri sana akiwa Azam,lakini ametoka Azam kwa mabango na kashfa kwa maboss wake.Alifanyiwa utu sana akiwa Azam ingawa hakuipa thamani waliyompa wao.

Kuondoka kwa kukashifu waliomsaidia sio uungwana kabisa na anastahili kuadhibiwa zaidi ya hapo unless aombe msamaha wa dhati.
Mimi namwambia ubaya ubwela
Unajua vidole vingapi vinakusonta wewe?
 
Nimesoma waraka ambao umeuandika kwa uchungu mkubwa sana,nami nimeusoma kwa uchungu mkubwa sana.Ni kweli unapitia madhila,matusi,lawama,kejeli,kashfa na kila aina ya masimango.

Nakuhakikishia kuwa kila binadamu amepitia hali hiyo,sio wewe tu,na hata hao wanaokutukana,wamewahi kupitia hali kama hiyo,huo ndio ubinadamu.Jiulize je wewe umewahi kupitia shida au mateso kuliko Joshuo Nkomo?,kuliko Robert Mugabe?

Watu hao walipitia mateso makubwa lakini waliongeza bidii na wakafaulu,ndivyo na wewe nakushauri ufanye,ongeza bidii na kumtumainia Mungu tu,hivi sasa wako wapumbavu wengi sana watakuja kwako kujifanya ndio ma masiha kwako,kwamba wanamjua mganga,sangoma ambae anaweza kukutibu ulivyorogwa,kataaa,ni Mungu pekee ndio atakayekusimamisha na uwashinde hao maadui zako.

Hayo mateso yako yote yageuze yawe fursa kwako,kukuchochea ufanikiwe.Na kwa lugha ya kwenu😛amberi ne chimurenga
Nakala imfikie Scars uran
 
Hili tusibishe ni bora tuwe tunanyamaza. Zile matches ambazo wachezaji wetu hawakudungwa tumeona matokeo. Azam wametudhalilisha sana. Sitawasamehe hawa mbwa kutuweka wazi.
Hakuna mchezaji anadungwa sindano,hicho kitu fifa hawaruhusu kabisa na timu inaweza kufungiwa maisha kucheza,hizo ni propaganda za maadui wa yanga
 
Hakuna mchezaji anadungwa sindano,hicho kitu fifa hawaruhusu kabisa na timu inaweza kufungiwa maisha kucheza,hizo ni propaganda za maadui wa yanga
Kwani Fifa wanaruhusu kuruka ukuta au kuingilia milango isiyo sahihi?

Tunakuambia kama hujui Wachezaji wetu wanadungwa sindano za kuongeza nguvu. Toka Azam itudhalilishe na tulipo nyimwa fursa team imeonekana na coach kasema hawapo fit kabisa. Sababu ya kuzoea kujidunga na mazoezi hawaendi wakitegemea kujidunga madawa
 
Huyo striker mijasho wacha ateseke aliitukana azam akasahau fathila walizo mtendea malipo hapa hapa dunian
 
Kwani Fifa wanaruhusu kuruka ukuta au kuingilia milango isiyo sahihi?

Tunakuambia kama hujui Wachezaji wetu wanadungwa sindano za kuongeza nguvu. Toka Azam itudhalilishe na tulipo nyimwa fursa team imeonekana na coach kasema hawapo fit kabisa. Sababu ya kuzoea kujidunga na mazoezi hawaendi wakitegemea kujidunga madawa
kuruka ukuta ni kosa dogo sana kulinganisha na kosa la kudunga sindano,soma sheria za fifa kwanza,utaona jinsi ilivyo hatari kudunga sindana tff yenyewe haiwezi kukubali suala hilo
 
Akae tu hapo YAS huku afya yake ya akili ikiwa ndo dhamana.
 
Ni ivi kweny maisha yeyote sehem iliyo kupa thaman kpind we unathamani bas pasina shaka ipe naenyw thamani yake kwa kuilipia gharama angalau hata kwa machache ambayo utakayo weza fanya, lakn syo kuondoka kwa kbr na madharau akka utalipwa hapo hapo ndy hii ya dube
kwa hiyo wewe unaamini kuwa wanaomfelisha dube pale yanga ni azam? Timu inapitia wakati mgumu kwa sasa na ktk hiyo timu dube ni sehemu ya timu!
 
Hakuna mchezaji anadungwa sindano,hicho kitu fifa hawaruhusu kabisa na timu inaweza kufungiwa maisha kucheza,hizo ni propaganda za maadui wa yanga
na yeyote atakayeleta picha jongefu inayoonesha wachezaji wakidungwa sindano (mimi holoholo mwenye uanachama halali wa yanga) naahidi kuifungulia mashtaka yanga fifa, asipoleta huo ushahidi basi nitamfungulia mashataka fifa,mahakamani kwa kueneza na kusambaza taarifa za uongo,na uzushi,jambo lililo leta hofu na taharuki miongoni mwa wapenda soka nchini.
 
Unajua vidole vingapi vinakusonta wewe?
Mimi siwezi kuwa mtovu wa fadhila kiasi hicho.
Mtu unapewa care ya VIP kila ukiumwa unapelekwa hadi south Africa,halafu unaachana na mwajiri wako kwa mabango.Mimi sina huo moyo usio wa kistaarabu
 
Back
Top Bottom