Kwa mwanamke mwenye sifa hizi

mutu ya watu

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2010
Posts
213
Reaction score
41
Habarin za saa hizi wanaJF,

mimi kijana wa miaka 33 naishi Dsm,nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo hapo chini, kwa ajili mahusiano ili tukijaliwa tutengeneza maisha kabisa"

1. anayehitajii kuolewa na hajawahi kuolewa
2. anayejitambua/anajua nini maana ya maisha,
3.umri miaka 24- 27,
4.mkristo'
5. mwenye hofu ya Mungu'
6.mkweli

kama unajiona angalau unasifa hizo/swali/maoni naomba unitumie PM kwa hatua nyingine,

Tafadhali tangazo hili linawahusu wanawake/mabinti makini tu.
 
Nilitaka kuku pm ila nasita.
P.S I have all the listed qualifications! teh teh!!!!
 
weka basi na sifa zako, maana c vema 2kaenda kubanana huko pm wakati ni vi2 ambavyo ungeweza kuviweka wazi tu. Mtazamo wangu.
 
weka basi na sifa zako, maana c vema 2kaenda kubanana huko pm wakati ni vi2 ambavyo ungeweza kuviweka wazi tu. Mtazamo wangu.

uliza ni kitu gani unachotaka kukijua kwangu, then nitakujibu kwenye PM just simple like that,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…