mutu ya watu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2010
- 213
- 41
Nilitaka kuku pm ila nasita.
P.S I have all the listed qualifications! teh teh!!!!
Kwanin unasita dada au ndo masihara yenyewe,
weka basi na sifa zako, maana c vema 2kaenda kubanana huko pm wakati ni vi2 ambavyo ungeweza kuviweka wazi tu. Mtazamo wangu.
sijui hata! lbd vile sikujui.....
nilisema earlier nina qualifications zote ulizotaja hapo!yawezekaza huna sifa no.1 au sifa no. 6. just maoni yangu ,