Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

ladyc

Member
Joined
Feb 10, 2017
Posts
29
Reaction score
30
Morning!

Mimi ni mwanamke wa miaka 28, kama binadamu inawezekana nina mapungufu yangu lakini matukio niliyopitia kwenye mahusiano yamenifanya kuwa mnyonge na kukata sana tamaa ingawa sitamani kabisa maisha ya u single.

Sina uhakika kama huku naweza pata mwanaume atakae nielewa na kuthamini thamani ya upendo nitakaompa ila yote kwa Mungu yanawezekana

Nahitaji mwanaume alie na utayari wa kujenga familia na anae jua thamani ya mwanamke

Mimi ni mkristo ningependa pia mwenzangu awe mkristo

Sio tegemezi na sihitaji alie tegemezi

Umri kuanzia 29+

Sina mtoto na kama mwanaume atakua na mtoto asizidi mmoja

Asubuhi njema!
 
Umejipambanua vizuri ila hujasema tunakupataje
 
Morning!

Mimi ni mwanamke wa miaka 28, kama binadamu inawezekana nina mapungufu yangu lakini matukio niliyopitia kwenye mahusiano yamenifanya kuwa mnyonge na kukata sana tamaa ingawa sitamani kabisa maisha ya u single.

Sina uhakika kama huku naweza pata mwanaume atakae nielewa na kuthamini thamani ya upendo nitakaompa ila yote kwa Mungu yanawezekana

Nahitaji mwanaume alie na utayari wa kujenga familia na anae jua thamani ya mwanamke

Mimi ni mkristo ningependa pia mwenzangu awe mkristo

Sio tegemezi na sihitaji alie tegemezi

Umri kuanzia 29+

Sina mtoto na kama mwanaume atakua na mtoto asizidi mmoja

Asubuhi njema!
Nimeipata pm Kama uko serias kweli ndugu yangu ila Kama sio Basi nijuze
 
Kama umedhamiria kweli utapata maana status uliyoandika sijaona sehemu umeandika kiwango cha elimu hapo umenifurahisha lkn amabpo sijaelewa ni kwamba mwanaume asiwe tegemezi Kvp? Mm najua hakunaga mwanaume tegemezi hata kama hana kazi atazunguka kwenye mizunguko yake ya vibarua na kupata hela ya kula nyumbani.kwa ushauri ungeweka contact na unapopatikana
 
Hapo VIPI?
 

Attachments

  • Screenshot_20171215-093758.png
    Screenshot_20171215-093758.png
    15.7 KB · Views: 104
Kama umedhamiria kweli utapata maana status uliyoandika sijaona sehemu umeandika kiwango cha elimu hapo umenifurahisha lkn amabpo sijaelewa ni kwamba mwanaume asiwe tegemezi Kvp? Mm najua hakunaga mwanaume tegemezi hata kama hana kazi atazunguka kwenye mizunguko yake ya vibarua na kupata hela ya kula nyumbani.kwa ushauri ungeweka contact na unapopatikana
Wapo kaka angu wanaume wa hivyo na ni wengi sana
 
Morning!

Mimi ni mwanamke wa miaka 28, kama binadamu inawezekana nina mapungufu yangu lakini matukio niliyopitia kwenye mahusiano yamenifanya kuwa mnyonge na kukata sana tamaa ingawa sitamani kabisa maisha ya u single.

Sina uhakika kama huku naweza pata mwanaume atakae nielewa na kuthamini thamani ya upendo nitakaompa ila yote kwa Mungu yanawezekana

Nahitaji mwanaume alie na utayari wa kujenga familia na anae jua thamani ya mwanamke

Mimi ni mkristo ningependa pia mwenzangu awe mkristo

Sio tegemezi na sihitaji alie tegemezi

Umri kuanzia 29+

Sina mtoto na kama mwanaume atakua na mtoto asizidi mmoja

Asubuhi njema!
Nimekuelewa nami ni muhitaji pia kama upo serious ni pm
 
Wewe ndo mwanamke wa kwanza kutokupata majibu ya karaha toka kwetu wanaume,tangu nijiunge humu 2013 na kuwa msomaji mgeni kuanzia 2000,
hongera mchumba,mola akuongoze kwa kila la kheri,na akuondolee shari na fitna zote.
 
Hivi criaz unaweza ukapata boy thru that! M mgeni apa wajuvi mnijuze tafadhali ladyc!?
 
Wewe ndo mwanamke wa kwanza kutokupata majibu ya karaha toka kwetu wanaume,tangu nijiunge humu 2013 na kuwa msomaji mgeni kuanzia 2000,
hongera mchumba,mola akuongoze kwa kila la kheri,na akuondolee shari na fitna zote.
Amen
 
Mwanamke wa kwanza kupewa Majibu laini humu.
Hongera kwa kutoweka vigezo vingi vya uhitaji. Maana wengine wanawekaga vigezo vingi kama huyo mtu wanamuumba wao. Tena unakuta mtu anataka umuoe yeye na mtoto wake na vigezo juu anaweka
 
Back
Top Bottom