Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
[emoji120] [emoji4]ASANTE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120] [emoji4]ASANTE
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwanamke wa kwanza kupewa Majibu laini humu.
Hongera kwa kutoweka vigezo vingi vya uhitaji. Maana wengine wanawekaga vigezo vingi kama huyo mtu wanamuumba wao. Tena unakuta mtu anataka umuoe yeye na mtoto wake na vigezo juu anaweka
Uko jf since 2000 ...duh ....Nina miaka 6Wewe ndo mwanamke wa kwanza kutokupata majibu ya karaha toka kwetu wanaume,tangu nijiunge humu 2013 na kuwa msomaji mgeni kuanzia 2000,
hongera mchumba,mola akuongoze kwa kila la kheri,na akuondolee shari na fitna zote.
Npgie 0764125128Morning!
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, kama binadamu inawezekana nina mapungufu yangu lakini matukio niliyopitia kwenye mahusiano yamenifanya kuwa mnyonge na kukata sana tamaa ingawa sitamani kabisa maisha ya u single.
Sina uhakika kama huku naweza pata mwanaume atakae nielewa na kuthamini thamani ya upendo nitakaompa ila yote kwa Mungu yanawezekana
Nahitaji mwanaume alie na utayari wa kujenga familia na anae jua thamani ya mwanamke
Mimi ni mkristo ningependa pia mwenzangu awe mkristo
Sio tegemezi na sihitaji alie tegemezi
Umri kuanzia 29+
Sina mtoto na kama mwanaume atakua na mtoto asizidi mmoja
Asubuhi njema!
Pole sana mkuu.mbambaishaj.tu alafu smtyms hii tabia imezidi.na mnatuona wanaume humu maboya.eeeh.
Huyu manzi kiufupi niliyajenga nae pm na mimi nikawa mtu wa karibu na yeye kwa umbali.wa kijiografia lakini huezi amini ,mwanamke huyu kipindi ambacho.anatafuta bwana humu kulikua na haya yanayoendelea .
Kwanza si muwazi kabisa na kuna uwezekano mkubwa mpaka siku aliopost uzi huu alikua na bwana permanent kabisa ila ni ujanja ujanja wake kutaka kupiga watu pesa.
Nayasema haya kwa kua tulichat vizuri sana pm ila tulipopeana mawasiliano akawa mzito sana wa kupokea simu na kujibu text ,siku ya chrismas alikwenda kwa bibi ake kama maelezo yake alivyonipa but boxing day napiga simu anapokea mwanaume alafu badae eti oooh nilikua kwa family meeting na aliyepokea ni ndugu wa kiume.
Mpaka nacomeent hapa ni kua status ya mwanamke huyu wasap ilikua inaonyesha kua anavikwa pete ya ndoa na kanisani tena mbele ya watu watu sasa swali langu hapo huyu bwana aliyempa alikua wa mwendo kasi kiasi gani hadi kufikia kufanya maamuzi yote na.taratibu zote za ndoa ndani ya siku 20tu ?unaboa sana faraja badilikeni wewe na wengine wenye tabia kama zako ndio.mnaokuja.chafua sifa ya watu ambao kweli wanauhitaji wa wenza wa kuishi nao
Tegemezii wapoo wengii tu kazi yao ni kukaa vijiwenii akitoka anald nyumbani anakula anakoga anald tena kijiwen mwanamke ndo unapambana unaumiza kichwaaa mda mwingine anakupigia sm baby naomba uniazime elf 10 kyaaaaaaKama umedhamiria kweli utapata maana status uliyoandika sijaona sehemu umeandika kiwango cha elimu hapo umenifurahisha lkn amabpo sijaelewa ni kwamba mwanaume asiwe tegemezi Kvp? Mm najua hakunaga mwanaume tegemezi hata kama hana kazi atazunguka kwenye mizunguko yake ya vibarua na kupata hela ya kula nyumbani.kwa ushauri ungeweka contact na unapopatikana
Na wewe umezidiii [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16]13 na vp wote mama 1 au tofautii??Dah...hawa watoto 13 nilionao wananikosesha bahati nyingi[emoji87] [emoji13]
Mmmmh una uhakika na unachokisema?mbambaishaj.tu alafu smtyms hii tabia imezidi.na mnatuona wanaume humu maboya.eeeh.
Huyu manzi kiufupi niliyajenga nae pm na mimi nikawa mtu wa karibu na yeye kwa umbali.wa kijiografia lakini huezi amini ,mwanamke huyu kipindi ambacho.anatafuta bwana humu kulikua na haya yanayoendelea .
Kwanza si muwazi kabisa na kuna uwezekano mkubwa mpaka siku aliopost uzi huu alikua na bwana permanent kabisa ila ni ujanja ujanja wake kutaka kupiga watu pesa.
Nayasema haya kwa kua tulichat vizuri sana pm ila tulipopeana mawasiliano akawa mzito sana wa kupokea simu na kujibu text ,siku ya chrismas alikwenda kwa bibi ake kama maelezo yake alivyonipa but boxing day napiga simu anapokea mwanaume alafu badae eti oooh nilikua kwa family meeting na aliyepokea ni ndugu wa kiume.
Mpaka nacomeent hapa ni kua status ya mwanamke huyu wasap ilikua inaonyesha kua anavikwa pete ya ndoa na kanisani tena mbele ya watu watu sasa swali langu hapo huyu bwana aliyempa alikua wa mwendo kasi kiasi gani hadi kufikia kufanya maamuzi yote na.taratibu zote za ndoa ndani ya siku 20tu ?unaboa sana faraja badilikeni wewe na wengine wenye tabia kama zako ndio.mnaokuja.chafua sifa ya watu ambao kweli wanauhitaji wa wenza wa kuishi nao
Nikwambie tu ukweli wewe ni mtoto wa kiume ni aibu sana kuongea vitu usivyokua na uhakika navyo hata kwa asilimia 1mbambaishaj.tu alafu smtyms hii tabia imezidi.na mnatuona wanaume humu maboya.eeeh.
Huyu manzi kiufupi niliyajenga nae pm na mimi nikawa mtu wa karibu na yeye kwa umbali.wa kijiografia lakini huezi amini ,mwanamke huyu kipindi ambacho.anatafuta bwana humu kulikua na haya yanayoendelea .
Kwanza si muwazi kabisa na kuna uwezekano mkubwa mpaka siku aliopost uzi huu alikua na bwana permanent kabisa ila ni ujanja ujanja wake kutaka kupiga watu pesa.
Nayasema haya kwa kua tulichat vizuri sana pm ila tulipopeana mawasiliano akawa mzito sana wa kupokea simu na kujibu text ,siku ya chrismas alikwenda kwa bibi ake kama maelezo yake alivyonipa but boxing day napiga simu anapokea mwanaume alafu badae eti oooh nilikua kwa family meeting na aliyepokea ni ndugu wa kiume.
Mpaka nacomeent hapa ni kua status ya mwanamke huyu wasap ilikua inaonyesha kua anavikwa pete ya ndoa na kanisani tena mbele ya watu watu sasa swali langu hapo huyu bwana aliyempa alikua wa mwendo kasi kiasi gani hadi kufikia kufanya maamuzi yote na.taratibu zote za ndoa ndani ya siku 20tu ?unaboa sana faraja badilikeni wewe na wengine wenye tabia kama zako ndio.mnaokuja.chafua sifa ya watu ambao kweli wanauhitaji wa wenza wa kuishi nao
umeelezea vizuri sana mpaka nimekupenda sema mimi kimaisha bado sijajipanga kabisa... ila nakuombea sana dada yangu utampata aliye kuelewa kama mimi...Morning!
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, kama binadamu inawezekana nina mapungufu yangu lakini matukio niliyopitia kwenye mahusiano yamenifanya kuwa mnyonge na kukata sana tamaa ingawa sitamani kabisa maisha ya u single.
Sina uhakika kama huku naweza pata mwanaume atakae nielewa na kuthamini thamani ya upendo nitakaompa ila yote kwa Mungu yanawezekana
Nahitaji mwanaume alie na utayari wa kujenga familia na anae jua thamani ya mwanamke
Mimi ni mkristo ningependa pia mwenzangu awe mkristo
Sio tegemezi na sihitaji alie tegemezi
Umri kuanzia 29+
Sina mtoto na kama mwanaume atakua na mtoto asizidi mmoja
Asubuhi njema!