Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

[emoji2] [emoji2] pole mkuu

Huyu faraja Mungu anamuona, amekufanya hadi uchanganye mafaili
 
Inbox me pls.inaweza ukawa bahati yangu.
 
Umejibu hoja za Mdau?
 
Umri jaman,cjui lini nitabahatika maana n htr
 
[emoji121]
MKUU,

NI-PM FASTA,

WATU TUPO SIRIYAZI SANA MWAKA HUU!!!
[emoji121] [emoji121] [emoji121]
 
Na wewe umezidiii [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16]13 na vp wote mama 1 au tofautii??
Dah...tofauti tofauti...wako 12 ... mmoja alileta mapacha [emoji2960]
 
Usisumbuke Mimi ndio mwanga kwenye Giza kwako
 
Nakuombea upate hitaji lako,

Cha kukuongezea fikiria zaidi mume wa maisha yako na si wamaonyesho utakuwa na ndoa ya furaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…