Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,718
Itakuwa kweli aisee maana wakati nipo Arusha sec form six yeye alikuwa form four ma alikuwa yanki sana. sasa mimi nipo around 25 ko unaweza ku minus 3 ukapata umri wakeAnasema ana miaka 21 cjui kweli
Hahahahahaaa uwiiiiiiiii!
Ila kusema la ukweli Idriss ni super handsome,smart.....
Yuko vizuri,nilicheki ile interview yake kwenye mkasi j3 alitokelezea sana.
Kuhusu kufulia atajijua mwenyewe,akijidai mfalme wa bata mjini hapa huku hana mradi wowote wa kumuingizia pesa imekula kwake.
Hila ana akili za kitoto sana anazidisha sana ucommedy...
Binamu ukiwa na pesa lazima uwe mzuri tu... Idris zaman hakuwa hvyo
Mmh binamu ujaacha umbea tu ahahahh mic youu.....
Binamu mchawi ataacha uchawi,mlevi ataacha pombe,mzinzi ataacha uzinzi lakini sio mbea kuacha umbea.
Hii kitu haiachiki aiseee....
Umeona eeh? Mi mwenyewe imeshindikana aiseeh ahahh. Vp Lakin?
Idris si anatoka na Samantha (walikua wote big brother)
hii ya wema sidhani, wema yuko na Luis munana yule mwenye nyusi kama wiper
Idris si anatoka na Samantha (walikua wote big brother)
hii ya wema sidhani, wema yuko na Luis munana yule mwenye nyusi kama wiper
Idris si anatoka na Samantha (walikua wote big brother)
hii ya wema sidhani, wema yuko na Luis munana yule mwenye nyusi kama wiper
Hahahaa! Hebu tupiako kapicha tuone hizo nyusi za wiper.
Ha ha ha kacheki account ya wemasepetu utaziona
Tunamkaribisha kwa waliofulia, tuna picha kibao za maisha ya anasa tuliyofanya na masupastaa wengi!! Lakini hata kumi sasa hivi hatuna, tunalazimisha kuvaa mayenu wakati kitambi kilishaporomoka na tumbo karibu linaungana na mgongo kwa kukosa lishe.
Ulijuaje ?Hellow
Kuna fununu kuwa Idris Sultan anatoka kimapenzi na Wema Sepetu, na kama tunavojua wadau Wema Sepetu anachotaka huwa ni pesa tu (ukiangalia dating history yake)
Pia inasemekana sahiv dogo anamiliki BMW na kumaintain iyo gari c pesa ndogo
Kwa mwendo huu cdhani kama ile million 500 itafika mbali, cjui lakini