Kwa mwendo huu, nahisi Idris Sultani atafulia mapema

Kwa mwendo huu, nahisi Idris Sultani atafulia mapema

Afulie tu.
Wakati anatafuta hajatushirikisha.
 
Tunamkaribisha kwa waliofulia, tuna picha kibao za maisha ya anasa tuliyofanya na masupastaa wengi!! Lakini hata kumi sasa hivi hatuna, tunalazimisha kuvaa mayenu wakati kitambi kilishaporomoka na tumbo karibu linaungana na mgongo kwa kukosa lishe.

Hahahahahaha mkuu umetishaaa
 
Si inasemwa kuwa anatafuta ukuu wa wilaya, na tabia hiyo? Anaharibu kabisa sifa ya ccm hasa pale anapojifanya kumkampenia magufuri.

Chini ya ccm hakuna kinachoshindikana, alipewa nafasi ya kugombea ubunge viti maalum akaangukia pua, msishangae kusikia siku moja naye anaitwa mheshimiwa.
 
21 ile naonaga gahawa tu may b 24

Nafikiri ana miaka 21/22 coz ashawahi kudiscussiwa humu. Amemaliza A -level 2013 Mbezi high school (kama nakumbuka vizuri). Kwa hiyo ukichukulia tu ile ya kiTz ya mtoto kuanza shule akiwa na miaka 7 unapata umri wake vizuri
 
Nafikiri ana miaka 21/22 coz ashawahi kudiscussiwa humu. Amemaliza A -level 2013 Mbezi high school (kama nakumbuka vizuri). Kwa hiyo ukichukulia tu ile ya kiTz ya mtoto kuanza shule akiwa na miaka 7 unapata umri wake vizuri


Kwa Umri huo nakubali kabisa maana unaendana nae kabisa yuko sambamba na huo umri...
 
Lemutuz na mashati yake ana uwezo wa kufunika vitz na magari ya mosha yasiloane na mvua
 
Back
Top Bottom