Kwa mwendo huu serikali kutowachukulia hatua za kisheria "wezi" waliotajwa na CAG, ripoti za CAG zitakuwa SIRI

Kwa mwendo huu serikali kutowachukulia hatua za kisheria "wezi" waliotajwa na CAG, ripoti za CAG zitakuwa SIRI

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kitendo cha rais kutowachukulia hatua wezi waliotajwa na CAG, Bunge kupiga dana dana kuzijadili, huko tuendako ripoti za CAG zitakuwa na muhuri wa SIRI na hivyo kutakuwa for public consumption.
Hata Bunge halitakuwa na mamlaka ya kuzijadili
 
Kitendo cha rais kutowachukulia hatua wezi waliotajwa na CAG, Bunge kupiga dana dana kuzijadili, huko tuendako ripoti za CAG zitakuwa na muhuri wa SIRI na hivyo kutakuwa for public consumption.
Hata Bunge halitakuwa na mamlaka ya kuzijadili
Bora ziendelee Kuwa siri,kwani kuliko kubwa tumeshaa mua kubinafsisha,hivyo mwekezaji atajitusgamoo🤔.Acha sasa tuendelee kwikwiba,hata nasisi tuwe miongoni mwao wawekezaji tunao wakaribisha😂😂😂
 
Kitendo cha rais kutowachukulia hatua wezi waliotajwa na CAG, Bunge kupiga dana dana kuzijadili, huko tuendako ripoti za CAG zitakuwa na muhuri wa SIRI na hivyo kutakuwa for public consumption.
Hata Bunge halitakuwa na mamlaka ya kuzijadili
Kaka
Mbuzi ya bwana joni, shamba la bwana joni! Kuna kesi kweli hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke aliumbwa kuwa msaidizi wa mwanaumme. Nawe mwanamme ukimchukua mwanamke uwe na cha kusaidiwa la, atajisadia kwa jinsi aonavyo ikiwa ni pamoja na kukutawala
Wanataka lazimisha wakati uwezo wao mdogo kazi kurembua macho
 
Wapi uliona wezi au majambazi yanakamatana. Kila mwizi kapiga ndani ya eneo lake hawajaingiliana, kwahiyo hakuna kesi hapo.
 
Back
Top Bottom