Kwa mwendo huu wa Zuchu, kweli ni haki H-Baba kulalamika na kusema vile kuhusu Nandy

Kwa mwendo huu wa Zuchu, kweli ni haki H-Baba kulalamika na kusema vile kuhusu Nandy

Ni kwa vile hamjui maana ya mziki mzuri mdogo wangu.umeelewa mdogo wangu.
Mziki sio kutumia minguvu mingi ni kipaji na akili.
sawa dogo Langu ujue mziki mzuri lazima utumie nguvu nyingi na kipaji na akili[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi huwa unalipwa ???....

Ukikosa busara bhasi weka heshima kwa watu waliomtangulia na kama ukishindwa hata hilo bhasi kuwa na adabu kwa watu wenye umri sawa au zaidi ya mama yako kama Saida..

Weka mipaka kwenye drama na ushabiki wenu wa kipuuzi
ok but nilimjibu kutokana na mdau kumsema zuchu NI takataka, so nikamuonyeaha kuwa kila mtu akiamua kumdefend anayempenda wako pia ataonekana takataka so calm down
 
ukitumia nguvu utakuwa makirikiri au ukalime shamba ndio nguvu zinatumika,sawa mdogo wangu.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
ok mdogo angu that's why ukitumia nguvu unafanikia Kama zuchu na ndo maana kaitwa Grammy, afrimma na aeusa[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
ok but nilimjibu kutokana na mdau kumsema zuchu NI takataka, so nikamuonyeaha kuwa kila mtu akiamua kumdefend anayempenda wako pia ataonekana takataka so calm down

kwa hiyo unaweza kwenda low kiasi hicho kwa kumdefend mtu ambaye ni alien kwenye daily life lako !!.

Reading between lines hufanani na hiyo personality unayotaka kuwaaminisha watu kuwa unayo. You are a way too smart for these kind of drama brother
 
Zuchu kinuka mkojo unamfananisha na Nandy?! Kweli akili za kisukuma hizi
 
Hivi huwa unalipwa ???....

Ukikosa busara bhasi weka heshima kwa watu waliomtangulia na kama ukishindwa hata hilo bhasi kuwa na adabu kwa watu wenye umri sawa au zaidi ya mama yako kama Saida..

Weka mipaka kwenye drama na ushabiki wenu wa kipuuzi
Huyo dogo achana nae , ameanza kuwajua wasanii baada ya kununuliwa smart phone na shemeji Yake.


To
 
kwa hiyo unaweza kwenda low kiasi hicho kwa kumdefend mtu ambaye ni alien kwenye daily life lako !!.

Reading between lines hufanani na hiyo personality unayotaka kuwaaminisha watu kuwa unayo. You are a way too smart for these kind of drama brother
i know that's why I struggle for humanity protect
 
Mimi nimeuliza tu wewe unatukana.
Maana kila nikicheki nyimbo zote za wasafi nasikia tu "inama inama babalao babalao samahani samahani nisamehe nisamehe" nabaki tu kujiuliza huu ndio utunzi wa siku hizi unaotoa tunzo au kuna kitu kingine nyuma ya pazia?
Mimi sina ushabiki wa kundi lolote ila nimefikiria tu nikauliza
Broh unaongelea nisamehe ya Zuchu au?? Kama Ni hivyo ukapimwe akili..over
 
Broh unaongelea nisamehe ya Zuchu au?? Kama Ni hivyo ukapimwe akili..over
Ni kichaa tu ndio anaweza kutumia nguvu na kumshobokea msanii na kutumia nguvu nyingi kumnadi hali ya kuwa hakuvishi,hakulishi na wala hakuzibui tigo yako unazibuliwa na watu wengine.
 
Back
Top Bottom