Kwa Mwenendo wa Uongozi wa Rais Samia, hadi sasa ameshafanikiwa kukata Vilimi vya Wapinzani Wake

Kwa Mwenendo wa Uongozi wa Rais Samia, hadi sasa ameshafanikiwa kukata Vilimi vya Wapinzani Wake

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Nawasalimu kwa jina la JMT..Kasi iendelee..

Ukweli usemwe tuu,kiufupi ni kwamba hadi sasa Rais Samia amefanikiwa kukata ngebe,Vilimi na wasiwasi wa wapinzani wake hasa Sukuma gang na Chadomo ambao waliamini angeshindwa kuongoza Nchi au labda kungekuwa na ombwe la kiungozi.

Baada ya Uongozi wake wa mwaka mmja na Miezi sasa ,Rais si tuu amefanikiwa kwenye uchumi bali amefanikiwa kwenye diplomasia na Demokrasia pia..

Hakuna mradi hata mmja umesimama au unasua sua kuanzia miradi aliyoacha Mwendazake hadi miradi mipya aliyoianzisha.

Good enough kila sekta ya Uchumi inakwenda vizuri kiasi kwamba amekuwa akiweka rekodi juu ya rekodi.

Leo hii wapinzani wake wamebakia wanatafutiza visababu vya kumkosoa lakini hawavipati na hata wakivipata Huwa havina nguvu.

Rais ameweza kusimamia mambo magumu bila kipepesa macho kama ishu ya Ngorongoro,Chanjo na mikopo na Kurejesha mchakato wa Katiba Moya.Ameweka msimamo thabiti bila kuyumba na kutembea kwenye maneno yake kwa vitendo paso kuyumbishwa wala kujigamba na kuacha wapinzani wake waone wenyewe matokeo.

My take,

Rais Samia ataweka historia ya kuwa Rais aliyefanikiwa zaidi ambae Tanzania imewahi kumpata..

Anaonekana kufaulu katikati ya changamoto lukuki.👇


Screenshot_20220713-091334.png
 
Wakati ule miradi ilijiongelea ila kwa sasa ni chawa kucha kutwa kuongelea mafanikio .let her deliver na ma miradi yaongee yenyewe. Maana sijaona mega project iliyoibuliwa na ku stand out, badala yake ni miradi haijasimama so what kwani ilikutwa imesimama ama
 
Eti vijana wa chadema mnajua maana ya kuingia barabarani mwenyechama chake anawauliza?
 
Matamanio yangu huwa yako kwenye masuala ya Uchumi, biashara na maendeleo zaidi kuliko kwenye porojo za soasa

Nimecheka kwa nguvu, sasa kwanini hii mada hujaipeleka kwenye majukwaa ya uchumi na biashara, ukaamua kuileta kwenye jukwaa la siasa kama huendekezi porojo za siasa?!
 
Chadema wakitangaza ka mkutano kadogo tu tena ka ndani jeshi la polisi linahamia huko.

Wanawake wa chadema wakifanya mazoezi ya viungo tu Rama na jeshi lake roho juu.

Huu uoga ni wa nini?
 
Matamanio yangu huwa yako kwenye masuala ya Uchumi, biashara na maendeleo zaidi kuliko kwenye porojo za soasa
Sasa hizi porojo unazojaza humu ni za nini? Wewe kiroboto tu Samia,na uzuri wala hana time na wewe unatwanga maji kwenye kinu tu hapa. Hata aibu huna 24/7 ni uchawa tu,huyo mumeo sijui unamhudumia saa ngapi.
 
Wakati ule miradi ilijiongelea ila kwa sasa ni chawa kucha kutwa kuongelea mafanikio .let her deliver na ma miradi yaongee yenyewe. Maana sijaona mega project iliyoibuliwa na ku stand out, badala yake ni miradi haijasimama so what kwani ilikutwa imesimama ama
Miradi ipi hiyo iliyokuwa inaenda kwenye vyombo vya habari kujiongelea?

Huwezi ona hizo mega projects wakati una chuki binafsi kwa SSH na unashinda kwenye porno..

Baadhi ya hizo mega projects ni vipande vyote vya sgr kuwa na wakandarasi,ujenzi wa Bwawa la kidunda(zaidi ya bil.500),ujenzi wa Bwawa la Farkwa Dodoma(zaidi ya bil.300),Ujenzi wa miundombinu ya maji miji 28 zaidi ya Til.1 /,ujenzi wa bandari ya Uvuvi Kilwa (234bil ),vyuo vya veta 30, hospital ya Kanda ya Magharibi,Ujenzi wa majengo 36 ya Wizara Dodoma nk nk yaani miradi ni mingi kupita maelezo..

Acha wivu mkuu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220712-202156.png
    Screenshot_20220712-202156.png
    272.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220712-165811.png
    Screenshot_20220712-165811.png
    195.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220712-165324.png
    Screenshot_20220712-165324.png
    199.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220711-140329.png
    Screenshot_20220711-140329.png
    172.8 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220710-193003.png
    Screenshot_20220710-193003.png
    195.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220711-115842.png
    Screenshot_20220711-115842.png
    150.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220707-074105.png
    Screenshot_20220707-074105.png
    134.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220707-075158.png
    Screenshot_20220707-075158.png
    87 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220707-075340.png
    Screenshot_20220707-075340.png
    131.1 KB · Views: 5
Chadema wakitangaza ka mkutano kadogo tu tena ka ndani jeshi la polisi linahamia huko.

Wanawake wa chadema wakifanya mazoezi ya viungo tu Rama na jeshi lake roho juu.

Huu uoga ni wa nini?
Huyu ni nani? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220713-193935.png
    Screenshot_20220713-193935.png
    190.5 KB · Views: 5
Kwa huyu kaamua kuwa na chawa wake mitandaoni ili kutoa mapambio ya kumsifu?
Tunatoa Takwimu na kuwaonesha kinachofanyika bila kuimba sifa za kuponda watangulizi wala kumlinganisha na Mungu kama mlivyokuwa mnafanya nyie.
 
Back
Top Bottom