Kwa Mwenendo wa Uongozi wa Rais Samia, hadi sasa ameshafanikiwa kukata Vilimi vya Wapinzani Wake

Tunatoa Takwimu na kuwaonesha kinachofanyika bila kuimba sifa za kuponda watangulizi wala kumlinganisha na Mungu kama mlivyokuwa mnafanya nyie.
Unaimba tu hakuna takwimu hapo. Kila uongozi tungeweka picha za walichokifanya jf ingejaa mapicha tu. Mwingine tumuwekee shule za kata zoote, mwingine sijui nini huko ili kukulidhisha kwa takwimu. Ni ugoro huu unaufanya.
 
Unaimba tu hakuna takwimu hapo. Kila uongozi tungeweka picha za walichokifanya jf ingejaa mapicha tu. Mwingine tumuwekee shule za kata zoote, mwingine sijui nini huko ili kukulidhisha kwa takwimu. Ni ugoro huu unaufanya.
Haiwezi kijaa kwa Sababu ziliwekwa Sana na haikujaa,picha zinaonesha uhalisia wa Takwimu.

Kama unaogopa kusoma kwa sababu utaaibika huo ni ulemavu wako ila mimi nakupa Takwimu.

Banki ya Dunia inatoa pongezi harafu wewe kenge mmja unaropoka ujinga πŸ‘‡
Unaimba tu hakuna takwimu hapo. Kila uongozi tungeweka picha za walichokifanya jf ingejaa mapicha tu. Mwingine tumuwekee shule za kata zoote, mwingine sijui nini huko ili kukulidhisha kwa takwimu. Ni ugoro huu unaufanya.
πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220714-100629.png
    154.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220616-205357.png
    50.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220616-205328.png
    53.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220616-205254.png
    50.1 KB · Views: 3
Ngonjera na sanaa tu. Post takwimu na njia za kupunguza maambukizi ya UKIMWI njombe huenda utainusuru jamii yako kuliko huu ushubwada.
 

Mega project ya nini tena wakati miradi mikubwa bado inaendelea na haijakamilika, huu utaratibu ndio ulizuia ajira mpya,nyongeza za mishahara,kupanda madaraja na wastaafu kusotea pension zao maendeleo ya vitu bila maendeleo ya watu ni mateso makubwa sana.

Kuna Channel ya Tivii ilikuwa ina segment inaitwa kishindo cha awamu ya "gwala" yaani ni kila saa kinarudiwa si ni vyema maendeleo yakasemwa kwa watu.
 
Zaidi ya sgr,daraja la Busisi na Bwawa la Nyerere hakuna mradi mwingine mkubwa mkuu,miradi mingine ni ya kawaida tuu..

Pili mama keshaanza miradi mikubwa mipya na baadhi yake ni

1.Ujenzi wa Bwawa la Kidunda,zaidi ya Bil.400,

2.Ujenzi wa Bwawa la Farkwa.

3.Ujenzi wa airport na Ring Road Dodoma.,

4.Ujenzi wa miradi ya maji miji 28,zaidi ya Til.1

5.Mabarabara ndio kabisaa kila Kona ya Nchi ikiwemo DART awamu ya 3.

6.Ujenzi wa Hospital ya Kitaifa Mama na Mtoto Dodoma.

7.Ujenzi wa Hospital ya Kanda ya Magharibi Kigoma.

8.Ujenzi wa Chuo Maalumu cha Kitaifa cha TEHAMA Dodoma.

Kiufupi miradi ni countless across sectors.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…