Kwa mwenendo wa vijana hawa, UKIMWI kuisha tusahau!

Sasa unahamaje mtaa kisa ngoma, wapi bongo hii hakuna ngoma?

Acha chai mzeee...
 
Naomba kujua kuhusu mbaazi na nguvu zake kwenye HiV
Mbaazi huku mtaan n ARV NDUGU
UKISIKIA TU BAR DEMU ANAKULA MBAAZI MKAUSHIE MAANA WANAKUWA WANA AFYA BALAA LAKN NDIO VILE
 
Umewapangisha wewe halafu unawaza kuwakimbia, endelea kuamini kuwa mkeo hawezi kuliwa.
 
Mbaazi huku mtaan n ARV NDUGU
UKISIKIA TU BAR DEMU ANAKULA MBAAZI MKAUSHIE MAANA WANAKUWA WANA AFYA BALAA LAKN NDIO VILE
Ooohhh daaaa dunia inamimbiaa.....sasa dawa ARV zitaruhusiwa normal pharmacy .....ndio balaaa sasaaa..no control watu watabwia wanenepe kuendeleza ngono
...
 
Una danguro? Mkuu wa wilaya asijue.
 
Habari ya Mbezi mkuu
 
Fukuza wote ila kama kula yako inategemea kodi baki nao tu
 
Watu siku hz hawajui kabisa kama ngoma ipo,wamejiziba masikio makusudi
 
Tatizo wana ume wenye uwezo ni wachache wengi wameshaharibu uzima wao kwa pombe.
Acha tu wanawake watugombanie mwenye ushawishi na nguvu aliwe.
 
Ukishaona unakaa mtaa nyote mnafahamiana jua maendeleo utayasikia kwa wenzio mikoani. Hama huo mtaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…