Kwa mwenye air compresor & digger drilling machine

Kwa mwenye air compresor & digger drilling machine

Enzi na Enzi

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2020
Posts
888
Reaction score
821
Habari wana JF. Mimi ni mchimbaji mdogo, nimepata site nzuri ya kuchimba na kutengeneza ore ya madini ya dhahabu kwa ajili ya uchenjuaji, mtambo wa kusagia mawe kwa maana ya crusher machine ninao, na eneo linasoma ppm nzuri kwa ajili ya kupata ore nzuri ila nimekwamishwa na kitendea kazi kimoja hicho.

Hivyo mwenye nayo au mwenye uwezo wa kununua maana zipo used nyingi tu aje tuungane tugawane hisa.

Mwenye nia au uthubutu huo ani pm,

Enzi na Enzi.
 
Habari wana jf. Mimi ni mchimbaji mdogo, nimepata site nzuri ya kuchimba na kutengeneza ore ya madini ya dhahabu kwa ajiri ya uchenjuaji, mtambo wa kusagia mawe kwa maana ya crusher machine ninao, naeneo linasoma ppm nzuri kwa ajiri ya kupata ore nzuri, ila nimekwamishwa na kitendea kazi kimoja hicho.
Hivyo mwenye nayo au mwenye uwezo wa kununua maana zipo used nyingi tu aje tuungane tugawane hisa.

Mwenye nia au uthubutu huo ani pm,
Enzi na Enzi.
Bei ya machine used ulizozipata zinaanzia ngap mkuu

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Habari wana jf. Mimi ni mchimbaji mdogo, nimepata site nzuri ya kuchimba na kutengeneza ore ya madini ya dhahabu kwa ajiri ya uchenjuaji, mtambo wa kusagia mawe kwa maana ya crusher machine ninao, naeneo linasoma ppm nzuri kwa ajiri ya kupata ore nzuri, ila nimekwamishwa na kitendea kazi kimoja hicho.
Hivyo mwenye nayo au mwenye uwezo wa kununua maana zipo used nyingi tu aje tuungane tugawane hisa.

Mwenye nia au uthubutu huo ani pm,
Enzi na Enzi.
Kama una hitaji air compressor na hizo rigger tembelea ofisi za kampuni wa Bam International waliojenga uwanja wa ndege pale terminal 3.

Wiki hii kwenye gazeti la Daily News la Ijumaa waliweka Tangazo la kuuza vifaa vyao vyote walivyotumia wakati wa ujenzi.

Nadhani ukienda utapata mitambo mingi kwa bei nafuu wanauza kama mnada.
 
Kama una hitaji air compressor na hizo rigger tembelea ofisi za kampuni wa Bam International waliojenga uwanja wa ndege pale terminal 3.
Wiki hii kwenye gazeti la Daily News la Ijumaa waliweka Tangazo la kuuza vifaa vyao vyote walivyotumia wakati wa ujenzi.

Nadhani ukienda utapata mitambo mingi kwa bei nafuu wanauza kama mnada.

Ahsante , nauzuri niliwahi fanya nao kazi! Mnada utakuwa wapi
 
Habari wana jf. Mimi ni mchimbaji mdogo, nimepata site nzuri ya kuchimba na kutengeneza ore ya madini ya dhahabu kwa ajiri ya uchenjuaji, mtambo wa kusagia mawe kwa maana ya crusher machine ninao, naeneo linasoma ppm nzuri kwa ajiri ya kupata ore nzuri, ila nimekwamishwa na kitendea kazi kimoja hicho.

Hivyo mwenye nayo au mwenye uwezo wa kununua maana zipo used nyingi tu aje tuungane tugawane hisa.

Mwenye nia au uthubutu huo ani pm,

Enzi na Enzi.
nime kupm tuajnge tuanze kazi
 
Habari wana jf. Mimi ni mchimbaji mdogo, nimepata site nzuri ya kuchimba na kutengeneza ore ya madini ya dhahabu kwa ajiri ya uchenjuaji, mtambo wa kusagia mawe kwa maana ya crusher machine ninao, naeneo linasoma ppm nzuri kwa ajiri ya kupata ore nzuri, ila nimekwamishwa na kitendea kazi kimoja hicho.

Hivyo mwenye nayo au mwenye uwezo wa kununua maana zipo used nyingi tu aje tuungane tugawane hisa.

Mwenye nia au uthubutu huo ani pm,

Enzi na Enzi.
nime kupm tuajnge tuanzs
Nakupigia cm yko haiunganishwi
Nilikuwa kwenye kikao
 
Ahsante , nauzuri niliwahi fanya nao kazi! Mnada utakuwa wapi
Kwenye ofisi zao Terminal 3.
Ningekuwa karibu na nakala ya gazeti ningekuoigia picha tangazo maana waliainisha mpaka bei ya kila kifaa kuanzia gari,jenereta na mashine hizo.
 
Mkuu, hiyo digger drilling machine kazi yake ni ipi..??
Samahani kwa kuuliza swali, ingawa lengo ni kujifunza hapa.
 
Mkuu, hiyo digger drilling machine kazi yake ni ipi..??
Samahani kwa kuuliza swali, ingawa lengo ni kujifunza hapa.
Digger/drill machine ni kwa ajili ya kuchoronga mwamba kwa ajili ya kupata tundu ambazo unaingiza baruti then unalipua.
Compressor ndio hutuzalisha upepo ambao unasukuma hiyo digger.


NB; KWA WALE WAHITAJI WA KUWEKEZA HII NI FURSA NZURI KAMA MTOA TANGAZO ANACHOSEMA NI CHA KWELI NA SAHIHI.
 
Back
Top Bottom