Kwa mwenye private car anaetoka arusha kwenda dsm nichangie hela ya mafuta

jey n

Senior Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
159
Reaction score
145
Habari wakuu naomba msaada kwa mwenye private car anaesafiri kesho kutoka Arusha kwenda dar es salaam 22/5/2022 nitachangia hela ya mafuta
 
Ukiona wanakuzingua humu..we anza kutembea mdogo mdogo tu mkuu.gari zitakukuta njiani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…