Kwa mwenye ratiba ya kuoa nipo hapa pia nina ratiba ya kuolewa

Nakonde

Member
Joined
Oct 2, 2016
Posts
28
Reaction score
58
Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
 
Kila mtu akija humu anataka maji ya kunde sisi weusi ndo kusema mmetutupilia mbali au...............
 
Nataka kuingia siwez ebu ingia kwangu kama hutojal maana nam natafuta mkristo na sifa hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…