inbox mkuuPm ndio wap
HaaaaahaDah, safi sana. Hii inaitwa aliye juu mpandie hukohuko. Maana siku hizi wanaume wamekuwa hawataki kuoa.
Kila mtu akija humu anataka maji ya kunde sisi weusi ndo kusema mmetutupilia mbali au...............Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm
Pm in boxTunaingiaje wengine washamba mkuu
Nakusubir kama upo seriousPm in box
Mchumba nimekupmNataka kuingia siwez ebu ingia kwangu kama hutojal maana nam natafuta mkristo na sifa hizo
Anamaanisha Ujichubue kama Mkongo.Ranging ya maji ya kunde ndio ipoje?
Private mesaageinbox mkuu
Bofya picha yake utapewa chaguo la meseji,OVER!!!Tunaingiaje wengine washamba mkuu