Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Bidhaa bila picha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuoi form four tunataka mwenye PhDSifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm
Sio hatuoi mkuu.. wewe ndio huoi mimi naoaHatuoi form four tunataka mwenye PhD
Pm ndio wap
Naomba ufafanue maji ya kunde ni rangi ipi kwa in accondance with you, please, maana mimi hapa nikiwa kwetu Ushirombo naitwa "maji ya kunde", nikienda Mbeya naitwa "cheupe", nikienda Karatu wanienda "mweusi"Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm
Hata Nguruwe anaoaSio hatuoi mkuu.. wewe ndio huoi mimi naoa
Hauna sababu ya kuandika tangazo hapa ndugu njoo pm tuyajenge!!!!Ukipata niambie na Mimi nitafute[emoji6]
Ratiba ya kuolewa ni kama kusubiri basi stend ...lisipokuja au likija limejaaa ndo bas tena husafiri any way kila heri lakin m huwa nawashangaa mnaoangalia rangi utadhani hio rangi italeta ugali nyumbaniSifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
Hiyo ratiba ninayo, hebu naomba tuwasiliane kwa nambari hii 0759947397 ila tu uwe serious, na kama Una entertain, wala usjaribu kabisa kunitafutaSifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
Zama zinabadilika sana mda si mrefu watatoa na kauli za wao kulipa mahali japo mpka sasa wapo wanaowalipia mahali waume zao ni baada ya kuona wanaume wamekuwa kimya swala la kuowa kwao halipo kichwani mwao ila ni jambo zuri tukiendelea hivi itakuwa kama nchi ya India MABADILIKOSifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.