Kwa mwenye ratiba ya kuoa nipo hapa pia nina ratiba ya kuolewa

Kwa mwenye ratiba ya kuoa nipo hapa pia nina ratiba ya kuolewa

Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
Umeshagusa hizo rangi ngapi mpaka sasa tuanzie hapo siyo unakutana na mtu kumbe anamiliki halmashauri nzima
 
Mtu kama upo serious una weka na picha kabisa kupunguza idadi za pm.
 
Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
Uko mkoa gani mkuu?
Kila mtu akija humu anataka maji ya kunde sisi weusi ndo kusema mmetutupilia mbali au...............
 
Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
Sifa zote ninazo tatizo tu Mimi mweusi tiiii!!!!!
 
Kabla ya kuja PM sifa moja kuu tunayoifia wanaume na kuisaka kwa udi na uvumba ipo??
 
Back
Top Bottom