Kwa mwenye ratiba ya kuoa nipo hapa pia nina ratiba ya kuolewa

Kwa mwenye ratiba ya kuoa nipo hapa pia nina ratiba ya kuolewa

Kila mtu akija humu anataka maji ya kunde sisi weusi ndo kusema mmetutupilia mbali au...............
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

I Itabidi utumie njia aliyoitumia Ray kwa kunywa maji mengi kama lita 20 kwa siku, ili ungae kama maji ya kunde
 
Mie sina maji ya kunde ila ni chotara.Pm kama umenipenda
 
Sifa zangu ni mwanaume mwenye umri miaka 30, sijawai kuoa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali, sifa za mwanamke umri. Miaka26 naomba uni PM
hahahahhhahhahhahahhaahahah
 
Back
Top Bottom