Kwa Mwili ule wa Kimbaumbau wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kumpeleka katika Oparesheni Kamata Jezi ni Kumhatarishia tu Maisha yake

Kwa Mwili ule wa Kimbaumbau wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kumpeleka katika Oparesheni Kamata Jezi ni Kumhatarishia tu Maisha yake

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tafadhali nawaomba Siku zingine msirudie tena au kama mnapenda awe anatumika katika Oparesheni zenu basi anzeni Kumlisha vyema ( Balance Diet ) ili Mwili wake uongezeke na mpeni Ratiba maalum ya kwenda Gym Kuujenga na Kuukomaza Mwili wake akienda tena katika Oparesheni zingine asiwe anapepesuka kama Karatasi na kuwa Muoga huku akitaka Kutoka Baru ( Kukimbia )

Cc: SAGAI GALGANO, rodrick alexander, Kalpana, Ghiti Milimo etc
 
Tafadhali nawaomba Siku zingine msirudie tena au kama mnapenda awe anatumika katika Oparesheni zenu basi anzeni Kumlisha vyema ( Balance Diet ) ili Mwili wake uongezeke na mpeni Ratiba maalum ya kwenda Gym Kuujenga na Kuukomaza Mwili wake akienda tena katika Oparesheni zingine asiwe anapepesuka kama Karatasi na kuwa Muoga huku akitaka Kutoka Baru ( Kukimbia )

Cc: SAGAI GALGANO, rodrick alexander, Kalpana, Ghiti Milimo etc
Video tafadhali
 
Hakuna uhusiano wa wembamba na namna ya kukabiliana na mtu.

Unaweza kuwa mnene ukagaragzwa na kimbaumbau.

Kumbe watu dizaini yako ndo mnasababisha askari wetu wafuge mitumbo na miili wakiamini ndo kuwa na nguvu za kukabiliana na adui.

Wenzetu walioendelea askari wao miili kama namba moja ila shughuli yao pevu.
 
Hakuna uhusiano wa wembamba na namna ya kukabiliana na mtu.

Unaweza kuwa mnene ukagaragzwa na kimbaumbau.

Kumbe watu dizaini yako ndo mnasababisha askari wetu wafuge mitumbo na miili wakiamini ndo kuwa na nguvu za kukabiliana na adui.

Wenzetu walioendelea askari wao miili kama namba moja ila shughuli yao pevu.
Makasiriko ya nini?
 
Hakuna uhusiano wa wembamba na namna ya kukabiliana na mtu.

Unaweza kuwa mnene ukagaragzwa na kimbaumbau.

Kumbe watu dizaini yako ndo mnasababisha askari wetu wafuge mitumbo na miili wakiamini ndo kuwa na nguvu za kukabiliana na adui.

Wenzetu walioendelea askari wao miili kama namba moja ila shughuli yao pevu.
Fact
 
Tafadhali nawaomba Siku zingine msirudie tena au kama mnapenda awe anatumika katika Oparesheni zenu basi anzeni Kumlisha vyema ( Balance Diet ) ili Mwili wake uongezeke na mpeni Ratiba maalum ya kwenda Gym Kuujenga na Kuukomaza Mwili wake akienda tena katika Oparesheni zingine asiwe anapepesuka kama Karatasi na kuwa Muoga huku akitaka Kutoka Baru ( Kukimbia )

Cc: SAGAI GALGANO, rodrick alexander, Kalpana, Ghiti Milimo etc
hata mm nilicheka sana...
 
Back
Top Bottom