Kwa mziki huu,Yanga SC leo kuishusha daraja Mbao FC kirumba Mwanza!

Kwa mziki huu,Yanga SC leo kuishusha daraja Mbao FC kirumba Mwanza!

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
FB_20170520_12_37_11_Saved_Picture.jpg
 
Wataalam mtujuze.Bila shaka hii ni 4-5-1!
 
Kwa mnavyoujua mpira wa bongo leo yanga watashinda zaidi y magoli 5, na mbao watashuka daraja. Bongo mtu yupo tayari afe njaa kwa ajili ya Simba au Yanga yake
 
Toto na Mbao wanakubali kufungwa na Yanga ili washuke daraja ili tu kumkomoa Simba asiwe bingwa,inashangaza sana..
 
Back
Top Bottom