Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Kama game ya nusu fainali walishinda, watashinda tena leo!
simba antaka apewe point za mezani ili atwae ubingwa, inashangazaq sanaToto na Mbao wanakubali kufungwa na Yanga ili washuke daraja ili tu kumkomoa Simba asiwe bingwa,inashangaza sana..
Toto na Mbao wanakubali kufungwa na Yanga ili washuke daraja ili tu kumkomoa Simba asiwe bingwa,inashangaza sana..
Basi kwa maneno haya farijianeniKwa mnavyoujua mpira wa bongo leo yanga watashinda zaidi y magoli 5, na mbao watashuka daraja. Bongo mtu yupo tayari afe njaa kwa ajili ya Simba au Yanga yake
nakwenye tvthimba ndege ataisikia kwenye radio
watazipata tu...wanadai kwa imani ya musa watashinda etiMiamala FC sijui itatoka leo? Huko waliko wanalilia points za FIFA!!
Tafadhali heshima ichukuwe mkondo wake!!Very Wonderful indeed! Hawa mbao lazima warudi kuchonga stuli