Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Nimetembelea maeneo tofauti tofauti katika mwisho na mwanzo wa mwaka huu Tanzania na visiwani Zanzibar sio siri hali za uchumi wa mtu mmoja mmoja ni ngumu sana.
Watumisi ktk NGO's wanapunguzwa,
Wajasria mali wanalia hali ngumu ya biashara na utitiri wa kodi.
Wananchi wa chini kabisa mlo mmoja imekuwa kitendawili.
Najiuliza tu kama mtanzania mwenye haki ya kuzungumza kikatiba "JINSI HALI YA MAISHA ILIVYO NGUMU MITAANI ALAFU ETI UNASIKIA YAKUWA KODI HIZI HIZI ZA WANYONGE ZINATUMIKA KUWANUNUA VIONGOZI WETU KUTOKA VYAMA VILIVYOCHAFGULIWA NA WANANCHI WANYONGE NA MASKINI"?
Hivi kweli kwa hali hii hata viongozi, mataifa na bara la Africa kwa ujumla litapata baraka za Mungu kweli ?
Nimetumia tu haki yangu kikatiba kusema yanayonihusu sitaki povu kama nimekukwaza kaa kimya huenda ukawa hujatembea.
Watumisi ktk NGO's wanapunguzwa,
Wajasria mali wanalia hali ngumu ya biashara na utitiri wa kodi.
Wananchi wa chini kabisa mlo mmoja imekuwa kitendawili.
Najiuliza tu kama mtanzania mwenye haki ya kuzungumza kikatiba "JINSI HALI YA MAISHA ILIVYO NGUMU MITAANI ALAFU ETI UNASIKIA YAKUWA KODI HIZI HIZI ZA WANYONGE ZINATUMIKA KUWANUNUA VIONGOZI WETU KUTOKA VYAMA VILIVYOCHAFGULIWA NA WANANCHI WANYONGE NA MASKINI"?
Hivi kweli kwa hali hii hata viongozi, mataifa na bara la Africa kwa ujumla litapata baraka za Mungu kweli ?
Nimetumia tu haki yangu kikatiba kusema yanayonihusu sitaki povu kama nimekukwaza kaa kimya huenda ukawa hujatembea.