Kwa namna ilivyo mitaani, hata aliyekuwa hataki ccm itoke madarakani, anaisagia meno!

Kwa namna ilivyo mitaani, hata aliyekuwa hataki ccm itoke madarakani, anaisagia meno!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Tusidanyane!

Vijana wote ambao hamko kwenye cheni ya ulaji na kupeana nafasi kwa Juana ndani ya ccm, bila kuiondoa ccm na kuikataa, wote mtakufa masikini na hamtafikia ndoto zenu abadani

Hata hapa CCM inalindwa na wanaokula kupitia mfumo mbovu iliojitengenezea na wengine kulipwa kwa kazi ya uchawa ili atetee matumbo ya wasioshiba na yeye kukubali ale makombo! Huyohuyo chawa anaisagia meno ccm

Kwa hali ilivyo, si kwa wababa wenye nguvu zao na ama wamama shupavu na wapambanaji, vijana watafutaji na walio na ndoto za badaye, hawaelewi na wanachokiona mitaani


Malengo na mipango yao inavurugika hata watumie nguvu kiasi kipi!

Wanachokipata na wanachokitumia' hakuwapi kabisa matumaini ya mbele yao!

Hakuna aliyekuwa anaipenda ccm kama wazee wangu, natoa mfano hai kabisa huu!

Ilikuwa mtu akitaja chama kingine na CCM anaonekana ni adui mkubwa ktk familia yangu mimi,

Kwa sasa! Mungu ni mzuri sana, wazee wangu wamefunguliwa hawataki tena kusikia Habari ya ccm

Ikiwa watu wa zamani na wazee ambao ccm kwao ni kama mzazi wao, wameanza kuchoshwa na ccm, Je kijana mwenye ndoto ya maisha yake ya badaye?

Sifahamu huko mliko wenzangu, huku mama hana Chake labda kubadirika kesho!
 
Tusidanyane!

Hata hapa CCM inalindwa na wanaokula kupitia mfumo mbovu wa kulinda uovu wa CCM

Yaani mtu analipwa kiasi ili aje kuwatetea waliomtuma na wao waendelee kushiba kwa anasa

Kwa hali ilivyo, si kwa wababa wenye nguvu zao na ama wamama shupavu na wapambanaji, vijana watafutaji na walio na ndoto za badaye, hawaelewi na wanachokiona mitaani


Malengo na mipango yao inavurugika hata watumie nguvu kiasi kipi!

Wanachokipata na wanachokitumia' hakuwapi kabisa matumaini ya mbele yao!

Hakuna aliyekuwa anaipenda ccm kama wazee wangu, natoa mfano hai kabisa huu!

Ilikuwa mtu akitaja chama kingine na CCM anaonekana ni adui mkubwa ktk familia yangu mimi,

Kwa sasa! Mungu ni mzuri sana, wazee wangu wamefunguliwa hawataki tena kusikia Habari ya ccm

Ikiwa watu wa zamani na wazee wameanza kuchoshwa na ccm kijana kwake sasa anaiona ccm kuwa ndiyo adui mkubwa wa kutimiza ndoto zao!

Sifahamu huko mliko wenzangu, huku mama hana Chake labda kubadirika
Tutaelewana tu
 
Kuna mtu nusu kunasawa vibao sokoni na swaga zake ujima ccm bahati nzuri walimuheshimu tu.
Isengukuwa hivo yule unknown wa mwendokasi angekuwa cha mtoto ICU
 
Tusidanyane!

Hata hapa CCM inalindwa na wanaokula kupitia mfumo mbovu wa kulinda uovu wa CCM

Yaani mtu analipwa kiasi ili aje kuwatetea waliomtuma na wao waendelee kushiba kwa anasa

Kwa hali ilivyo, si kwa wababa wenye nguvu zao na ama wamama shupavu na wapambanaji, vijana watafutaji na walio na ndoto za badaye, hawaelewi na wanachokiona mitaani


Malengo na mipango yao inavurugika hata watumie nguvu kiasi kipi!

Wanachokipata na wanachokitumia' hakuwapi kabisa matumaini ya mbele yao!

Hakuna aliyekuwa anaipenda ccm kama wazee wangu, natoa mfano hai kabisa huu!

Ilikuwa mtu akitaja chama kingine na CCM anaonekana ni adui mkubwa ktk familia yangu mimi,

Kwa sasa! Mungu ni mzuri sana, wazee wangu wamefunguliwa hawataki tena kusikia Habari ya ccm

Ikiwa watu wa zamani na wazee wameanza kuchoshwa na ccm kijana kwake sasa anaiona ccm kuwa ndiyo adui mkubwa wa kutimiza ndoto zao!

Sifahamu huko mliko wenzangu, huku mama hana Chake labda kubadirika
CCM inakera sana
 
Tusidanyane!

Hata hapa CCM inalindwa na wanaokula kupitia mfumo mbovu wa kulinda uovu wa CCM

Yaani mtu analipwa kiasi ili aje kuwatetea waliomtuma na wao waendelee kushiba kwa anasa

Kwa hali ilivyo, si kwa wababa wenye nguvu zao na ama wamama shupavu na wapambanaji, vijana watafutaji na walio na ndoto za badaye, hawaelewi na wanachokiona mitaani


Malengo na mipango yao inavurugika hata watumie nguvu kiasi kipi!

Wanachokipata na wanachokitumia' hakuwapi kabisa matumaini ya mbele yao!

Hakuna aliyekuwa anaipenda ccm kama wazee wangu, natoa mfano hai kabisa huu!

Ilikuwa mtu akitaja chama kingine na CCM anaonekana ni adui mkubwa ktk familia yangu mimi,

Kwa sasa! Mungu ni mzuri sana, wazee wangu wamefunguliwa hawataki tena kusikia Habari ya ccm

Ikiwa watu wa zamani na wazee wameanza kuchoshwa na ccm kijana kwake sasa anaiona ccm kuwa ndiyo adui mkubwa wa kutimiza ndoto zao!

Sifahamu huko mliko wenzangu, huku mama hana Chake labda kubadirika
Lakini tisa kumi 2025 wakipewa ubwabwa na kofia wanaiba kura ili sisiemu ishinde. Walimu washahongwa vishkwambi tayari subiri 2025 uone uhayawani wao kwenye kuiba kura.
 
Na uzuri ni kwamba ulimbukeni unaendelea kupungua. Zamani ilikua rahisi kuwaadaa watu na vitenge na chupi za ccm. Ila sasa hadi vijijini ni vitu vya kawaida wanavipata kupitia minada
 
Tatizo liko hapa, hatuna misimamo thabiti kati yetu, kuna watu unaweza kudhani mpo pamoja kwenye mapambano ya kuiondoa CCM madarakani, kumbe wenzako hawaipendi CCM kwasababu anayeongoza sio wa imani yao, au hajawapa makombo ya mezani.

Siku akiingia wakuwapa mabaki ya mezani, au wa imani yao, hawa wapuuzi wanageuka mabubu, wanaanza kutazama mabaya yanayofanywa na serikali lakini hawathubutu kufungua midomo yao kukemea, wanafiki wa aina hii kwangu wanatakiwa kutupwa kwenye shimo, wamwagiwe petrol, kisha wachomwe moto, kwani hawa ndio wabaya zaidi ya CCM yenyewe.
 
ccm imelewa madaraka, imetuletea taasisi dhaifu zisizojua utendaji bora,nasikiliza taarifa ya Habari kuhusu sad news ya wanafunzi kuzama kwa maji pale kagera, mkuu wa zimamoto anatamka kuwa watasubiri masaa 24 ndio waingie mtoni maana miili ya watoto hao itaelea!,rudisha vikosi hivi vya uokoaji na zimamoto kwa municipalities, itakua ni wajibu wa kila Halmashauri kuwa na vikosi hivi
 
Tatizo liko hapa, hatuna misimamo thabiti kati yetu, kuna watu unaweza kudhani mpo pamoja kwenye mapambano ya kuiondoa CCM madarakani, kumbe wenzako hawaipendi CCM kwasababu anayeongoza sio wa imani yao, au hajawapa makombo ya mezani.
Hii pointi!
 
Tatizo liko hapa, hatuna misimamo thabiti kati yetu, kuna watu unaweza kudhani mpo pamoja kwenye mapambano ya kuiondoa CCM madarakani, kumbe wenzako hawaipendi CCM kwasababu anayeongoza sio wa imani yao, au hajawapa makombo ya mezani.

Siku akiingia wakuwapa mabaki ya mezani, au wa imani yao, hawa wapuuzi wanageuka mabubu, wanaanza kutazama mabaya yanayofanywa na serikali lakini hawathubutu kufungua midomo yao kukemea, wanafiki wa aina hii kwangu wanatakiwa kutupwa kwenye shimo, wamwagiwe petrol, kisha wachomwe moto, kwani hawa ndio wabaya zaidi ya CCM yenyewe.

Sasa km kuna ambao wanataka kuiondoa CCM madarakani si wawapooze hao wenye njaa…ili jambo lifanikiwe….
 
Pigeni makelele yenu lakin ccm itashinda kwakishindo maana mengi yamefanyika awamu ya Raisi samia
 
Huu ndio ukweli, hii ndio iliyopelekea dhalimu kupora uchaguzi kwani alijua angekubali matokeo halali ingekuwa aibu kwake na chama chake.
Kwahiyo unataka kusema kwamba Uchaguzi alishinda Lissu? Lissu huyu huyu ambaye juzi mmemkataa ninyi wenyewe mpaka akakimbilia Ubelgiji?
 
Kwahiyo unataka kusema kwamba Uchaguzi alishinda Lissu? Lissu huyu huyu ambaye juzi mmemkataa ninyi wenyewe mpaka akakimbilia Ubelgiji?

Hatuna tatizo na Lisu kushindwa, tulitaka kura za halali zitangazwe tujue mshindi ni nani, na kwa kiwango gani. Kama Magufuli alikuwa na uhakika wa kushinda, kipi kilimfanya anajisi uchaguzi?
 
Ingekuwa kushinda na kushindwa inaamuliwa kwenye JF na ma keyboard warriors basi wishful thinking ingekuwa inashinda kila mara.Huna grassroots offices, mijini huna hata uungwaji mkono wa asilimia 40 utashinda vipi?Kwa miujiza?
 
Ingekuwa kushinda na kushindwa inaamuliwa kwenye JF na ma keyboard warriors basi wishful thinking ingekuwa inashinda kila mara.Huna grassroots offices, mijini huna hata uungwaji mkono wa asilimia 40 utashinda vipi?Kwa miujiza?
Vijana wengi wanaoifuata ccm kwa sasa ni wale walio kwenye cheni ya kujuana na ulaji

Na wengine wale wenzangu na Mimi walamba miguu ya mabosi wa CCM walioshiba kodi za watanzania kwa dhuluma, wapo tayari kufanya hata kazi za aibu ili tu wapate mkate wa kila siku,

Ni wale wanaopewa vijisenti ili tu wawe chawa wa kunyoosha yaliyopinda

Haya ni maajabu, yaani kijana unafurahia kupewa kitu ili tu uje hapa useme kinyume cha kile boss wako ccm amefanya?

Ndiko huko kubaki masikini maisha yote kama tuu kijana dizaini hiyo etaendelea kukumbatia dhambi hii ya kupenda makombo
 
Back
Top Bottom