Kwa namna Ntobi na Yericko Nyerere walivyomchafua Tundu Lissu ni Wazi Rais Samia hana Mpinzani October, anasubiri kuapishwa tu!

Kwa namna Ntobi na Yericko Nyerere walivyomchafua Tundu Lissu ni Wazi Rais Samia hana Mpinzani October, anasubiri kuapishwa tu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa namna Viongozi wakubwa wa Chadema Mh Ntobi na Mwanasheria Yeriko Nyerere walivyoanika hadharani SIRI za kwanini Tundu Antipas Lisu Hafai kuwa Rais wa JMT ni Wazi Rais Samia hana Mpinzani October anasubiri kuapishwa tu

Ikumbukwe Ntobi na Yeriko ni washauri Wakuu wa Mwenyekiti wa Chadema na 2020 walihusika kumpitisha Lisu agombee uRais siyo Kwa sababu ana Sifa bali ndiye mtu pekee ndani ya Chadema aliyekuwa anafanana na Shujaa Magufuli

Sisi CCM tunatembea Vifua mberee😂
 
..hakuna haja ya kumchafua Mama Abduli.

..uwezo wake wa kufikra ni mdogo kuweza kushindana na Lissu.
 
Wamempa sifa zake, hawakumchafua.

Lisu hatufai chadema, aende aendako.

Tutamchagua Mbowe mitano tena.
 
Kwa namna Viongozi wakubwa wa Chadema Mh Ntobi na Mwanasheria Yeriko Nyerere walivyoanika hadharani SIRI za kwanini Tundu Antipas Lisu Hafai kuwa Rais wa JMT ni Wazi Rais Samia hana Mpinzani October anasubiri kuapishwa tu

Ikumbukwe Ntobi na Yeriko ni washauri Wakuu wa Mwenyekiti wa Chadema na 2020 walihusika kumpitisha Lisu agombee uRais siyo Kwa sababu ana Sifa bali ndiye mtu pekee ndani ya Chadema aliyekuwa anafanana na Shujaa Magufuli

Sisi CCM tunatembea Vifua mberee😂
Yericko ni nani,Ntobi ni nani? Umeshiba njugu mawe unakuja kuandika uharo kama huu. Mtaji wa matapeli ni wajinga kama wewe
 
Hakuna mtu katukanwa kama Mbowe na wanaojiita Team Lisu, lakini katulia hana wasiwasi.

Tizama Team Lisu = Team matusi mnavyohangaika.
 
Kwa namna Viongozi wakubwa wa Chadema Mh Ntobi na Mwanasheria Yeriko Nyerere walivyoanika hadharani SIRI za kwanini Tundu Antipas Lisu Hafai kuwa Rais wa JMT ni Wazi Rais Samia hana Mpinzani October anasubiri kuapishwa tu

Ikumbukwe Ntobi na Yeriko ni washauri Wakuu wa Mwenyekiti wa Chadema na 2020 walihusika kumpitisha Lisu agombee uRais siyo Kwa sababu ana Sifa bali ndiye mtu pekee ndani ya Chadema aliyekuwa anafanana na Shujaa Magufuli

Sisi CCM tunatembea Vifua mberee😂

Kwani kwa sheria hizi kuna chaguzi au computer tu za usalama wanaweka nammba. Kama unafikiri kuna uchaguzi kwa sheria hizi pima akili zako kwanza. Tatizo leo ujinga umekuwa sifa utasema serikali za mitaa 2024 ulikuwa uchaguzi😂
 
Kwa namna Viongozi wakubwa wa Chadema Mh Ntobi na Mwanasheria Yeriko Nyerere walivyoanika hadharani SIRI za kwanini Tundu Antipas Lisu Hafai kuwa Rais wa JMT ni Wazi Rais Samia hana Mpinzani October anasubiri kuapishwa tu

Ikumbukwe Ntobi na Yeriko ni washauri Wakuu wa Mwenyekiti wa Chadema na 2020 walihusika kumpitisha Lisu agombee uRais siyo Kwa sababu ana Sifa bali ndiye mtu pekee ndani ya Chadema aliyekuwa anafanana na Shujaa Magufuli

Sisi CCM tunatembea Vifua mberee😂
Yericco Mwanasheria?
 
Kwa namna Viongozi wakubwa wa Chadema Mh Ntobi na Mwanasheria Yeriko Nyerere walivyoanika hadharani SIRI za kwanini Tundu Antipas Lisu Hafai kuwa Rais wa JMT ni Wazi Rais Samia hana Mpinzani October anasubiri kuapishwa tu

Ikumbukwe Ntobi na Yeriko ni washauri Wakuu wa Mwenyekiti wa Chadema na 2020 walihusika kumpitisha Lisu agombee uRais siyo Kwa sababu ana Sifa bali ndiye mtu pekee ndani ya Chadema aliyekuwa anafanana na Shujaa Magufuli

Sisi CCM tunatembea Vifua mberee😂
Africa hakuna uchaguzi Bwasheee ,ni FUTUHI tu ,kwa jinsi watu walivyoichoka SISIEMU Watch_Hundred hata akigombea na Liquid ,liquid anashinda sema ndiyo hivyo ,kura anatangaza mwenyekiti wa tume huru ambaye anateuliwa na RICE.
 
Back
Top Bottom