Kwa namna Ntobi na Yericko Nyerere walivyomchafua Tundu Lissu ni Wazi Rais Samia hana Mpinzani October, anasubiri kuapishwa tu!

L
Hakuna mtu katukanwa kama Mbowe na wanaojiita Team Lisu, lakini katulia hana wasiwasi.

Tizama Team Lisu = Team matusi mnavyohangaika.
Lisu na genge lake kadri siku zinavyosonga mbele wanapungukiwa mbinu za kisiasa
 
Akiongea anaonekana kama MTU mwenye EGO najiuliza Taaluma yake imekaaje kaaje
 
Ukitobomoa ukingo wa mto maji yakachepuka, kuna raia watamwagilia mashamba.
Ikiwa walisema anafanana na Magufuli, sukuma gang wataenda na Lissu.
Cc Carlos The Jackal
 
CHADEMA hawana utamaduni wa kumrudisha mgombea aliyewahi kugombea nafasi ya uraisi. Bila shaka Kuna MTU makini anaandaliwa. Tusubiri tarehe 21/01/2025 apatikane mwenyekiti mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…