Kwa namna Shujaa Magufuli alivyotumika taifa letu ujengwe mnara mkubwa Chato eneo la mataa Muungano ili iwe kumbukumbu shadidi

Kwa namna Shujaa Magufuli alivyotumika taifa letu ujengwe mnara mkubwa Chato eneo la mataa Muungano ili iwe kumbukumbu shadidi

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Akiwa waziri alipambana kulinda rasilimali za umma.
Akazuia wizi wa pesa za umma na barabara zikajengwa.

Alipokuwa rais ni kwa miaka mitano tu aliweza kufanya makubwa . Ili kuenzi makubwa aliyofanya hasa kudhibiti wizi wa mali za umma. Basi ijengwe sanamu mjini chato kulinda heshima na kumbukumbu.
 
Kazi na alama za hayati Magufuli ziko wazi ni ripoti za CAG, Mauaji, Ukabila, Wizi, Uongo na mambo yenye kufanana na hayo. Usidanganyike na majengo na "miradi" ya kushikia akili.

Ninyi mliopumbazwa na propaganda zake ni viumbe wa kuonewa huruma sana. Lakini ili tuwasaidie mpone dawa ni kuwaeleza ukweli tu - kuwa mtu wenu alikuwa sio kabisaaaa! Alikuwa muuaji, mwizi, mwongo, fisadi, mfitini, chizi......

Tayari hiyo minara ipo labda bado uzinduzi tu.
 
Hizo hela bora zika nunulie condoms na kusambazwa mitaani. Zingezuia kuzaliwa watu wajinga kama wewe
 
Back
Top Bottom