Kwa nchi ambazo zilishakuwa na uhusiano wa kidugu na China, Korea na Russia, Democracy ya kweli haiwezi kuwepo

Kwa nchi ambazo zilishakuwa na uhusiano wa kidugu na China, Korea na Russia, Democracy ya kweli haiwezi kuwepo

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Huo ndiyo ukweli wenyewe, hatuwezi kupractice demokrasia ya kutelewa kwa kulazimishwa, hata siku moja,
Tukumbuke demokrasia hii ililetwa kwa bakora hapa barani kwetu Africa, bakora iliyotumika kwa wakati huo ni usipokubali kuipokea basi hutapata misaada popote katika nchi za kibeberu, mnyonge Afrika akakosa namna ikamlazimu aingie tu alimradi liwalo na liwe.

Afrika hapo awali ilikuwa na mifumo yake ambayo iliwathamini sana watu au viongozi waaminifu na mabaraza maalumu yalikuwa yakiwapendekeza mtu fulani ni jasiri, mkweli, muhaminifu, ana msimamo hivyo mtu huyu anatufaa, na tumpe uongozi atuongoze, kitu ambacho kiliwakera sana mabeberu maana wangelikosa upenyo wa kufitinisha ili kusababisha ghasia, (inflicts & rule) hivyo njia yao sahihi ikaonekana watulazimishie mfumo huu Africa ambao is Unaplicable, kwa nchi zinazojitambua, na kujielewa kwa kina.
Adhima na malengo na matakwa ya nchi za magharibi ni kuendeleza ubabe wao,
Waafrika waelewa wakaupokea mfumo, wakaupractise viceversa, kama mfumo hewa (Illusion democracy) na utaendelezwa ki hewa hewa kwa miongo kadhaa!, alimradi tunakidhi kiu za bwana wakubwa, (tega nikutege)
 
Ujinga na upumbavu ni wenu,lakini bado mnatoa lawama kwa wazungu as if ndo viongozi wenu.mnatumia 500b kununua magari ya kifahari na hili nalo mtasema ni matunda ya demokrasia ya wazungu kumbe ni upumbavu wenu.
 
Huo ndiyo ukweli wenyewe, hatuwezi kupractice demokrasia ya kutelewa kwa kulazimishwa, hata siku moja,
Tukumbuke demokrasia hii ililetwa kwa bakora hapa barani kwetu Africa, bakora iliyotumika kwa wakati huo ni usipokubali kuipokea basi hutapata misaada popote katika nchi za kibeberu, mnyonge Afrika akakosa namna ikamlazimu aingie tu alimradi liwalo na liwe,
Afrika hapo awali ilikuwa na mifumo yake ambayo iliwathamini sana watu au viongozi waaminifu na mabataza maalumu yalikuwa yakiwapendekeza mtu fulani ni jasiri, mkweli, muhaminifu, ana msimamo hivyo mtu huyu anatufaa, na tumpe uongozi atuongoze, kitu ambacho kiliwakera sana mabeberu maana wangelikosa upenyo wa kufitinisha ili kusababisha ghasia, (inflicts & rule) hivyo njia yao sahihi ikaonekana watulazimishie mfumo huu Africa ambao is Unaplicable, na utaendelea kuwa kama Illusion in democracy kwa miongo kadhaa!
Kama ni hivyo huoni kuwa ni ujinga mkubwa kuigiza demokrasia badala ya kuachana nayo kabisa na kutangaza mfumo wa chama kimoja cha siasa. Hamna hiyo jeuri? Au jeuri hiyo ni ya ndani ya nchi tu kutishia wanyonge; huku huko nje ni adabu tu mbele ya mabeberu.

Uliza mabosi wako watakusisitizia kuwa Tanzania ni nchi ya kidemokrasia yenye mfumo wa vyama vingi na inayoheshimu haki za binadamu.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kama ni hivyo huoni kuwa ni ujinga mkubwa kuigiza demokrasia badala ya kuachana nayo kabisa na kutangaza mfumo wa chama kimoja cha siasa. Hamna hiyo jeuri? Au jeuri hiyo ni ya ndani ya nchi tu kutishia wanyonge; huku huko nje ni adabu tu mbele ya mabeberu.

Uliza mabosi wako watakusisitizia kuwa Tanzania ni nchi ya kidemokrasia yenye mfumo wa vyama vingi na inayoheshimu haki za binadamu.
Tutumie akili kubwa kutambua hili, we just practise as an Illusion. Note this!..
 
Nilichogundua Democrasia inadumaza maendeleo na ndio maana Wazungu wakatulazimisha tuingie huko Ili tusiendelee

Wao wenyewe Wazungu wamepata maendeleo Kwa udicteta sio Kwa democrasia walikuja Africa kidicteta wakapora rasilimali zetu wakatajirika

Kama sio democrasia
Bunge na Baraza la madiwani lisinge kiwepo fikiria tungeokoa mamilioni mangapi na kuyapeleka katika maendeleo

Uchaguzi usingekuwepo fikiria tungeokoa mamilioni mangapi na kuyapeleka katika maendeleo

Ruzuku za vyama zisingekuwepo fikiria tungeokoa mamilioni mangapi na kuyapeleka katika maendeleo
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Nilichogundua Democrasia inadumaza maendeleo na ndio maana Wazungu wakatulazimisha tuingie huko Ili tusiendelee

Wao wenyewe Wazungu wamepata maendeleo Kwa udicteta sio Kwa democrasia walikuja Africa kidicteta wakapora rasilimali zetu wakatajirika

Kama sio democrasia
Bunge na Baraza la madiwani lisinge kiwepo fikiria tungeokoa mamilioni mangapi na kuyapeleka katika maendeleo

Uchaguzi usingekuwepo fikiria tungeokoa mamilioni mangapi na kuyapeleka katika maendeleo

Ruzuku za vyama zisingekuwepo fikiria tungeokoa mamilioni mangapi na kuyapeleka katika maendeleo
Wazungu ndio wamewalazimisha muwe na baraza la madiwani??
Mbona udikteta umekuwepo muda mrefu na bado uko sehemu kubwa ya Africa ila bado Africa ni bara masikini kuliko yote?
 
Nilichogundua Democrasia inadumaza maendeleo na ndio maana Wazungu wakatulazimisha tuingie huko Ili tusiendelee

Wao wenyewe Wazungu wamepata maendeleo Kwa udicteta sio Kwa democrasia walikuja Africa kidicteta wakapora rasilimali zetu wakatajirika

Kama sio democrasia
Bunge na Baraza la madiwani lisinge kiwepo fikiria tungeokoa mamilioni mangapi na kuyapeleka katika maendeleo

Uchaguzi usingekuwepo fikiria tungeokoa mamilioni mangapi na kuyapeleka katika maendeleo

Ruzuku za vyama zisingekuwepo fikiria tungeokoa mamilioni mangapi na kuyapeleka katika maendeleo

Sio kweli. Mbona nchi zenyebdokrasia ndio zimeendelea zaidi?. Kama hutaki demokrasia turudi kwenye mfumo wa chama kimoja.
 
Tutumie akili kubwa kutambua hili, we just practise as an Illusion. Note this!..
For what? Kama sio kuogopa hao unaodai wamewaletea na kuwalazimisha demokrasia.

Mnawaogopa wababe wa nje na kujipretend kutekeleza demokrasia huku mnakandamiza wananchi wenu wanyonge? Ndio akili kubwa hiyo?

I can never be part of that servile idiocy.
 
Back
Top Bottom