Kwa nchi ya Tanzania Mkuu wa nchi anapotutoka kunakuwa na ratiba nyingi sana

Kwa nchi ya Tanzania Mkuu wa nchi anapotutoka kunakuwa na ratiba nyingi sana

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Nchi yetu ina makao makuu mawili, ina nchi mbili,ina mkoa anapotoka rais,ina nyumbani kabisa anapotoka mkuu.Sasa unakuta huku kote kunatakiwa kuwe na ratiba na pilika nyingi ambazo zinakula muda na gharama nyingi sana.

Msiba ni mkubwa shughuli zote za serikali zinasimama karibu wiki nzima ni heka heka huku na kule yaani ni pilila watu hawalali mpaka mazishi yafanyike watu wanakuwa hawana hamu tena na maisha.

Ninakumbuka msiba fulani ilibidi mama apumzishwe asubiri tu nyumbani kabisa maana pilika ni nyingi mpaka unaona kizunguzungu na pia kumchosha mtu ameshalala milele yaani hizi protocol za kiserikali ni nyingi mpaka basi.

Ushauri kwanini isitafutwe sehemu moja tu ya kumuaga then tuende nyumbani kabisa tukamalize shughuli. Huko sehemu nyingine watoke wawakilishi wa kusindikiza na sisi wengine tutafuatilia kwenye vyombo vya habari.

Hivi sijui ni lazima kufuata haya maprotokali?
 
Nikweli kabisa mkuuu, hata baada ya mazishi mkuu wa nchi anaye fuatia lazima aanze kumsema vibaya mtangulizi wake...😜🤣 maana huo ndio utawala safi na unaosimamia sheria na haki...🙄🤓
 
Nikweli kabisa mkuuu, hata baada ya mazidi mkuu wa nchi anaye fuatia lazima aanze kumsema vibaya mtangulizi wake...😜🤣 maana huo ndio utawala safi na unaosimamia haki...🙄🤓
Na ni kwa sababu mtangulizi wake naye enzi za uhai wake yeye pamoja na makuhani wake waliwasema vibaya watangulizi wao 😉😅😆😂
 
Back
Top Bottom