Wazo lako ni zuri, ila kwa sasa umechelewa kwani tayari karibu wizara zote watumishi wamehamia na wamelipwa stahiki zao. Kutengua tena uamuzi huo manake walipwe tena kurudi Dar! Ndo uchumi huo?Kuhamia Dodoma ni ndoto yetu ya siku nyingi sana, lakini sio kipaumbele kutokana na hali yetu ya sasa ya kiuchumi.
Kama tukiyaorodhesha matatizo yetu yanayokwamishwa na ukosefu wa fedha kwa kufuata umuhimu na uharaka wake kuhamia Dodoma haitakuwemo kwenye top 100 ya shida hizo.
Jamani Tanzania ni yetu na Dodoma ni yetu wote bila kujali vyama vyetu. Hebu tuwekeze kodi zetu kwa sasa katika kujenga miundombinu, kukusanya kodi, na kuboresha maisha ya wananchi wetu kwanza.
Tupige tu hesabu tuone kama zilizotumika ni nyingi kuliko tutakazohitaji kutumia kukamilisha mission nzima. Hata hao unaosema wamehamia hata familia zao bado ziko DSM hivyo kila wikiend wako DSMWazo lako ni zuri, ila kwa sasa umechelewa kwani tayari karibu wizara zote watumishi wamehamia na wamelipwa stahiki zao. Kutengua tena uamuzi huo manake walipwe tena kurudi Dar! Ndo uchumi huo?
Dar wameinjoy Sana maisha toka uhuru, wacha nao wakina Matonya wafurahia uhuru wa nchi yao.Tupige tu hesabu tuone kama zilizotumika ni nyingi kuliko tutakazohitaji kutumia kukamilisha mission nzima. Hata hao unaosema wamehamia hata familia zao bado ziko DSM hivyo kila wikiend wako DSM
Je, unadhani tunahitaji sh ngapi kuhamishia Dodoma Rais wetu?
Kweli angeliweka kwa siasa, lakini msaidie huenda akawa sawa Mada mchanyiko, kila siku tunaishi ni siasaMkuu, wazo lako ni zuri, lkn huku jukwaa la Biashara ulipoliweka siko, ni sawa na kwenda kuuza sigara Kanisani kwa walokole. Hili bandiko ungeweka kule jukwaa la siasa ambako wachambuzi wa mambo kama haya wamejaa tele kungekuwa na mjadala wenye tija
Sio suala la kisiasa hili ni suala la kiuchumi zaidi. Ningeliweka kule kwenye siasa ningeambiwa chadema au mpinga ilani, lakini uchumi hauna chama.Mkuu, wazo lako ni zuri, lkn huku jukwaa la Biashara ulipoliweka siko, ni sawa na kwenda kuuza sigara Kanisani kwa walokole. Hili bandiko ungeweka kule jukwaa la siasa ambako wachambuzi wa mambo kama haya wamejaa tele kungekuwa na mjadala wenye tija
Tupige tu hesabu tuone kama zilizotumika ni nyingi kuliko tutakazohitaji kutumia kukamilisha mission nzima. Hata hao unaosema wamehamia hata familia zao bado ziko DSM hivyo kila wikiend wako DSM
Je, unadhani tunahitaji sh ngapi kuhamishia Dodoma Rais wetu?
Ukiwa Moro Friday jioni nenda pale samaki samaki, tena sasa hivi kuna balcony, nenda kaa juu wakati unapata Serengeti yako au Windhoek check mashangingi (STK, STL....) from Dom yaki rally to Dar.....kila weekend wapo dar kwa nauli zao... sio kwa gharama ya serikali
HahahaaaDar wameinjoy Sana maisha toka uhuru, wacha nao wakina Matonya wafurahia uhuru wa nchi yao.
Endelea kuota mchana kweupe sisi tunasonga mbele! Kama ni kusubiri mbona tumesubiri sana zaidi ya miaka 40.Sio suala la kisiasa hili ni suala la kiuchumi zaidi. Ningeliweka kule kwenye siasa ningeambiwa chadema au mpinga ilani, lakini uchumi hauna chama.
Hata Mwl. Nyerere alishindwa kuhamia Dodoma kutokana na ughali wake. Kuhamia huko ni luxuary ambayo ingesubiri kila kijiji kiwe na maji ya bomba, umeme, shule, kituo cha police, trekta la kulimia, zahanati, barabara, soko la mazao yao, majosho ya mifugo yao, nk
Sio wanarudi baada ya kuhudhuria vikao vya bunge??Ukiwa Moro Friday jioni nenda pale samaki samaki, tena sasa hivi kuna balcony, nenda kaa juu wakati unapata Serengeti yako au Windhoek check mashangingi (STK, STL....) from Dom yaki rally to Dar.....