kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kuhamia Dodoma ni ndoto yetu ya siku nyingi sana, lakini sio kipaumbele kutokana na hali yetu ya sasa ya kiuchumi.
Kama tukiyaorodhesha matatizo yetu yanayokwamishwa na ukosefu wa fedha kwa kufuata umuhimu na uharaka wake kuhamia Dodoma haitakuwemo kwenye top 100 ya shida hizo.
Jamani Tanzania ni yetu na Dodoma ni yetu wote bila kujali vyama vyetu. Hebu tuwekeze kodi zetu kwa sasa katika kujenga miundombinu, kukusanya kodi, na kuboresha maisha ya wananchi wetu kwanza.
Kama tukiyaorodhesha matatizo yetu yanayokwamishwa na ukosefu wa fedha kwa kufuata umuhimu na uharaka wake kuhamia Dodoma haitakuwemo kwenye top 100 ya shida hizo.
Jamani Tanzania ni yetu na Dodoma ni yetu wote bila kujali vyama vyetu. Hebu tuwekeze kodi zetu kwa sasa katika kujenga miundombinu, kukusanya kodi, na kuboresha maisha ya wananchi wetu kwanza.