babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Tumemrudisha kwao dar mkuu.Hatima ya huyo mtu ni nini?
Asante kwa kujivua lawama niliogopa sana kufikiri kwamba Arusha nayo imekuwaje kama Dar [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa niaba ya wanaume wote mikoani hususan Arusha naomba kutoa tamko kwamba yule mwanaume aliebebwa na maji ya mtaro *siyo mwenzetu*. Yeye alikuwa abiria toka Dar aliekuja kumsamlimia rafiki yake na alikuwa ndo anajiandaa kurudi kwao Dar maeneo ya Yombo Vituka. Wanaume wa mikoani hatubebwi na maji ya mtaroni. Ahsanteni sana
Ni upuuzi wa kiwango cha barabara ya changalawe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni upuuzi mkubwa kama tuna hazina ya vijana wenye kusombwa na maji ya CHEMBA.
HuyoWeka video yake huyo inawezekana alikuja kusalimia tu
Alikuwa deep in shallow water!Jitu Zima na midevu mpaka kwapani unachukuliwaje na maji ya mtaroni.Kama sio ujinga mtupu.
Ndio maana alikuwa anakenua kenua meno kwa wale polisiKwa niaba ya wanaume wote mikoani hususan Arusha naomba kutoa tamko kwamba yule mwanaume aliebebwa na maji ya mtaro *siyo mwenzetu*. Yeye alikuwa abiria toka Dar aliekuja kumsamlimia rafiki yake na alikuwa ndo anajiandaa kurudi kwao Dar maeneo ya Yombo Vituka. Wanaume wa mikoani hatubebwi na maji ya mtaroni. Ahsanteni sana