sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Nianze Kwa kutoa pole Kwa Wafiwa waliofiwa na ndugu Yao na kufanikisha kumpakia kwa ndege kutoka Kalatu mpaka uwanja wa KIA mkoani Kilimanjaro.
Nianze Kwa kuusema ukweli Mimi ni mwanasiasa nisiyekipenda na stokaa nikipende Chama Cha Mapinduzi narudia Tena sitokaa nikipende Chama Cha Mapinduzi, ingawa tangu niwe mtu mzima nafanyia kazi mailani Yao ya uwongo Kwa watanzania.
Nimefika pahala nachukia mpaka wanachama wake na hii inasababishwa na matendo Yao maovu Kwa watanzania.
Niachane na hayo, niende kwa nilichokiona Jana msibani ambapo Aikaeli Freeman Mbowe alikuwa kiongozi wa msafara wa mazishi ya bwana mmoja aliyekuwa diwani kwa miongo miwili kupitia chadema huko Karatu.
Kwanza huyu bwana alipata heshima Moja hatari sana Kwa CCM, nilishuhudia umati mkubwa sana kutoka kwa vijana walio valia magwanda Yao meusi wengi sana nilijuliza hivi KESHO akidondoka Mbowe itakuaje?
Nilishuudia umati wa wanachadema wengi sanaaaa nikajiuliza hivi CCM wanauwezo wa kufuta hili lichama kweli?
Nilishuhudia msiba ulivyoendeshwa Kwa heshima, nikaona hapana ni vyema mama ajulishwe na wenzake yakuwa hili lichama liko mioyoni mwa watu kuendelea kuwafungia ni hatari kubwa iko mbeleni. Fungulia chama la Wana mama uliponye Taifa
Marehemu kazi umeifanya heshima yal umeilinda PUMZIKA Kwa amani.
Nianze Kwa kuusema ukweli Mimi ni mwanasiasa nisiyekipenda na stokaa nikipende Chama Cha Mapinduzi narudia Tena sitokaa nikipende Chama Cha Mapinduzi, ingawa tangu niwe mtu mzima nafanyia kazi mailani Yao ya uwongo Kwa watanzania.
Nimefika pahala nachukia mpaka wanachama wake na hii inasababishwa na matendo Yao maovu Kwa watanzania.
Niachane na hayo, niende kwa nilichokiona Jana msibani ambapo Aikaeli Freeman Mbowe alikuwa kiongozi wa msafara wa mazishi ya bwana mmoja aliyekuwa diwani kwa miongo miwili kupitia chadema huko Karatu.
Kwanza huyu bwana alipata heshima Moja hatari sana Kwa CCM, nilishuhudia umati mkubwa sana kutoka kwa vijana walio valia magwanda Yao meusi wengi sana nilijuliza hivi KESHO akidondoka Mbowe itakuaje?
Nilishuudia umati wa wanachadema wengi sanaaaa nikajiuliza hivi CCM wanauwezo wa kufuta hili lichama kweli?
Nilishuhudia msiba ulivyoendeshwa Kwa heshima, nikaona hapana ni vyema mama ajulishwe na wenzake yakuwa hili lichama liko mioyoni mwa watu kuendelea kuwafungia ni hatari kubwa iko mbeleni. Fungulia chama la Wana mama uliponye Taifa
Marehemu kazi umeifanya heshima yal umeilinda PUMZIKA Kwa amani.