Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

MATAGA mmetoka kusema serikali imepongezwa na WB sasa mnakuja Mbeya.
Bi Tukinao ameanza kugawa bajaji, ni takrima na PCCB walipaswa kumkamata, wanyakyusa wananunuliwa kama nyanya soko la kariakoo
 
Yeye ni kiongozi wa kitaifa anarudisha fadhila nyumbani

Wana mbeya Wengi sana kila kata wanamtaka agombee ubunge
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo, sasa ni wazi Mh Tulia anagombea? Si ndiyo?
 
Kangi Lugola mumeshamfikisha mahakamani
RUSHWA NA CCM NI SAWA NA CHURA NA MAJI, kangi kishafutiwa kesi, kwa NOLLE PROSEQUE zaidi ya mbili, ni joka kama Chenge, huyu jamaa anayejifanya aombewe kila siku ni mnafki wa kufa mtu, eti anapambana na rushwa wakati mwanafunzi wake ipo wazi na akina mambalaswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…