Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Unataka nianze kuorodhesha alivyosaidia wewe km nani?

Wanambeya wamemuomba agombee ubunge hajajipeleka

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kama mwana mbeya huya bibi yako sijawahi kumuona zaiidi ya muda huu kuja kujipendekeza watu wambeya tuna akili timamu.hana jipya huyo bibi unaibu spika unamshinda ataweza kuongoza jimbo huyo.kama kakupa kazi kamwambie kazi imekuwa kazi.
 
Wewe upo jimbo la ubungo mbeya umeenda lini?
Mimi kama mwana mbeya huya bibi yako sijawahi kumuona zaiidi ya muda huu kuja kujipendekeza watu wambeya tuna akili timamu.hana jipya huyo bibi unaibu spika unamshinda ataweza kuongoza jimbo huyo.kama kakupa kazi kamwambie kazi imekuwa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Aangalie Tulia hela yake isije ikapotea kwenye sanduku la kura[emoji28][emoji28]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo wajibu wa 'mbunge' kuziwezesha saccos kwa kugawa manoti kama alivyokuwa akigawa mapesa makanisani na misikitini yule mgombea urais ambaye ndoto yake ilikomea 2015.

Bali mbunge wajibu wake ni kuisukuma serikali kuhakikisha kuna mfumo bora na thibiti wa masoko ya fedha (kuanzia mabenki mpaka hizo saccos na vicoba).

Hao wanasiasa wanaotumia NGOs kusaka madaraka mara nyingi wataishia kuwa watumwa wa hao wanaowafadhili sasa. Hivyo mleta maada ikiwa nawe umetumwa au ndiyo upeo wako tu unapoishia, ukae ukijua kiongozi bora hanunui uongozi bali huupata kwa kuwa anastahili.

Sisemi kuwa Sugu kalitendea haki jimbo lake lakini pia simhukumu. Sasa wewe uliyeko Mbeya ulipaswa kuja na uchambuzi unaoeleweka na siyo hizo ngonjera.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara baada ya matokeo kutangazwa, nadhani kuna mgombea mmojawapo kati ya hao hataamini matokeo...atazijua tabia halisi za wana Mbeya...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…