Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Unataka nianze kuorodhesha alivyosaidia wewe km nani?

Wanambeya wamemuomba agombee ubunge hajajipeleka

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kama mwana mbeya huya bibi yako sijawahi kumuona zaiidi ya muda huu kuja kujipendekeza watu wambeya tuna akili timamu.hana jipya huyo bibi unaibu spika unamshinda ataweza kuongoza jimbo huyo.kama kakupa kazi kamwambie kazi imekuwa kazi.
 
Wewe upo jimbo la ubungo mbeya umeenda lini?
Mimi kama mwana mbeya huya bibi yako sijawahi kumuona zaiidi ya muda huu kuja kujipendekeza watu wambeya tuna akili timamu.hana jipya huyo bibi unaibu spika unamshinda ataweza kuongoza jimbo huyo.kama kakupa kazi kamwambie kazi imekuwa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya

Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa zimewezesha wananchi kujikimu na mahitaji ya kila siku.

Mama moja katika soko la Mwanjelwa aliyejitambulisha kama Mama Tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya wananchi wa Mbeya.

Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na viongozi wengine wa kisiasa waliopo Mbeya.

Vijana wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu Spika amefanya maajabu makubwa Tanzania.

My take: Mh Sugu ili kuepusha aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wana Mbeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boksi la kura.

Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufokafoka tu, huku kwenye Siasa wana Mbeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa Mbeya.

Tuipende Tanzania

Aangalie Tulia hela yake isije ikapotea kwenye sanduku la kura[emoji28][emoji28]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya

Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa zimewezesha wananchi kujikimu na mahitaji ya kila siku.

Mama moja katika soko la Mwanjelwa aliyejitambulisha kama Mama Tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya wananchi wa Mbeya.

Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na viongozi wengine wa kisiasa waliopo Mbeya.

Vijana wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu Spika amefanya maajabu makubwa Tanzania.

My take: Mh Sugu ili kuepusha aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wana Mbeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boksi la kura.

Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufokafoka tu, huku kwenye Siasa wana Mbeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa Mbeya.

Tuipende Tanzania
Siyo wajibu wa 'mbunge' kuziwezesha saccos kwa kugawa manoti kama alivyokuwa akigawa mapesa makanisani na misikitini yule mgombea urais ambaye ndoto yake ilikomea 2015.

Bali mbunge wajibu wake ni kuisukuma serikali kuhakikisha kuna mfumo bora na thibiti wa masoko ya fedha (kuanzia mabenki mpaka hizo saccos na vicoba).

Hao wanasiasa wanaotumia NGOs kusaka madaraka mara nyingi wataishia kuwa watumwa wa hao wanaowafadhili sasa. Hivyo mleta maada ikiwa nawe umetumwa au ndiyo upeo wako tu unapoishia, ukae ukijua kiongozi bora hanunui uongozi bali huupata kwa kuwa anastahili.

Sisemi kuwa Sugu kalitendea haki jimbo lake lakini pia simhukumu. Sasa wewe uliyeko Mbeya ulipaswa kuja na uchambuzi unaoeleweka na siyo hizo ngonjera.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya

Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa zimewezesha wananchi kujikimu na mahitaji ya kila siku.

Mama moja katika soko la Mwanjelwa aliyejitambulisha kama Mama Tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya wananchi wa Mbeya.

Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na viongozi wengine wa kisiasa waliopo Mbeya.

Vijana wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu Spika amefanya maajabu makubwa Tanzania.

My take: Mh Sugu ili kuepusha aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wana Mbeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boksi la kura.

Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufokafoka tu, huku kwenye Siasa wana Mbeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa Mbeya.

Tuipende Tanzania
Mara baada ya matokeo kutangazwa, nadhani kuna mgombea mmojawapo kati ya hao hataamini matokeo...atazijua tabia halisi za wana Mbeya...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom