Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

Nawewe ungezama ndani uichape hadi ilale..yani hakikisha umegeuza vya ndani vikayeyuka hadi nje
 
GENTAMYCINE!!UNATUDANGANYA TENA. INA MAANA HUYU BIDADA NI YULE YULE ALIYEKUKOSESHA USINGIZI SAA SITA ZA USIKU SABABU YA MIGUNO YAKE YA MAHABA AKIBANDULIWA??:wacko:
 
oh mwenye makosa ni huyo mdada tu...vp kuh huyo mwanaume mwenzio unayemuhurumia aliyemwacha mkewe tena ukute kwa dharau kubwa???? haudhani km huyo demu firauni ndo size yake?? Ujue hata yule mmama aliyeachwa na mumewe (tax driver) hana hamu na wanaume??? kama ana watoto wa kike ukute hawatamani kuolewa kwa aliyofanyiwa mama yao!!!

bhana ukweli ni kuwa sehemu kubwa ya jamii imeoza...bila kujali jinsia. Ila wema bado wapo japo wachache!
 
Weee mwanaume ni mmbea mno..
umepiga chaboo wee bado na maneno ya dada wa watu kwa mzee wa watu umeyackia.
daa shida kwel kwel
 
Kataa ndoa
 
ukasikia harufu ya mavi na milio ya kujamba paaaaaap praaatttttt papaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…