Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

Fanya maamuzi magumu,usisitishe ndoa yako kwa sababu ya kasoro za mtu mwingine.Utakuwa hujamtendea haki mtarajiwa wako,kwa jinsi nilivyokuelewa labda huyu wako nae anaelement kama hizo ndio maana umefanya comparison,sikia mkuu wako ni wako na wa mwenzako sio wako.....fanya yako usifuate ya watu huto fanikiwa ukiacha mambo yako sababu ya watu wengine.....jinsi unavyoishinae wew mwenyewe utajua nini kinaendelea kati yako na mwenzako kwani za mwizi ni arobaini bado hazijafika sabini na umsamehe saba mara sabini.Karibu kwenye ndoa kuna raha yake na karaha zake.Mwanaume lazima ujiamini,akizingu piga chini owa mwingine usisahau mwanamke/mwanaume mjinga ataivunja ndoa yake kwa mkono wake mwenyewe
 
ikanibidi nikodoe mimacho yangu mikubwa dirishani niangalie nini kinaendelea ili kama ni wao kweli basi taratibu nianze kutafuta msalaba wangu wa bikira maria nisali kabla sija resti ini pisi lakini wakati naendelea kusali nikaona gari inatikisika hivyo ikanibidi sasa mimacho yangu hii mikubwa nii zoom

nawasilisha

kuwa muongo inabid uwe smart sana.
 
Hakika kwa hiki nilichokiona na kukishuhudia mwenyewe kwa macho yangu usiku huu hapa kitaani kwangu natangaza rasmi kusitisha kwa muda usiojulikana kufunga ndoa yangu iliyokuwa ifanyike mwishoni mwa mwaka huu disemba.

Nini kimetokea?

Hapa nilipopanga jirani yangu anaishi dada mmoja ambaye ni muajiriwa wa ( tiaraei ) Kariakoo ( jina nalihifadhi ) ambaye ametokea kuwa na mahusiano na mtu mzima fulani hivi ambaye ni dereva taxi wa Kinondoni kwa Manyanya na nakumbuka ni huyu huyu dada ndiye aliyemshawishi huyu mzee aachane na mkewe na waanzishe mahusiano yao na hili lizee likakubali ila kwa sharti kwamba kila mtu kwa sasa akae kwake ambapo hili zee ( dereva taxi ) linakaa bunju na huyu dada yupo kitaani Mbezi Makonde maeneo ya kumbi hizi za sunset na mbaba wa watu kakubali kulelewa na kuwa mtumwa kwa huyu binti kiasi kwamba kila siku asubuhi ni lazima huyu zee jinga aje ampitie hapa na kumpeleka kazini ( TRA ) Kariakoo na jioni anamrudisha kitaani. Mzee wa watu masikini ya Mungu anahadaiwa kwa kudanganganywa hapa na pale na yeye akiridhika na kubweteka tena huku akiwatambia wenzake kuwa huyu msichana kwake hachomoki kwani ameshamtengeneza kwa babu ( mganga ) Bagamoyo na kwamba vitu (penzi) analompa hawezi kwenda nje kwa mwanaume mwingine yoyote nikiwemo hata mimi mentali.

Siku zote jamaa ni lazima aje hapa kwa huyu dada usiku na wanabanduana hadi saa sita (siyo samweli ) usiku kisha anaondoka lakini cha ajabu leo huyu msichana karudi peke yake tena saa moko hivi kisha mida ya saa mbili akasepa zake na bahati mbaya sana kwake na nzuri kwangu ni kwamba muda si mrefu nikiwa nimeshajilalia zangu nikasikia mlio wa gari unakuja upande wa dirisha langu ambako ndiyo njia pia ya kuelekea kwake na huyu ( TRA ) baby kabila Mchaga na msukuma mara gari likasimama ghafla karibu kabisa na lilipo dirisha langu na hapo hapo tena taa nazo zikazimwa ila gari ikiwa inaunguruma tu. Hivyo na mimi kidume nikasema niangalie na niwe standby isije ikawa wenyewe ( wazee wa ngwasuma ) majambazi wamekuja kuniibia hivyo ikanibidi nikodoe mimacho yangu mikubwa dirishani niangalie nini kinaendelea ili kama ni wao kweli basi taratibu nianze kutafuta msalaba wangu wa bikira maria nisali kabla sija resti ini pisi lakini wakati naendelea kusali nikaona gari inatikisika hivyo ikanibidi sasa mimacho yangu hii mikubwa nii zoom mithili ya miwani ile ya 3d nione nini kinaendelea. Jamani hamuwezi amini kumbe alikuwa ni huyu huyu dada ananyonya ice cream ya mwanaume mwingine na kama hiyo haitoshi walipomaliza tu kunyonyana mule katika gari milango ya gari ikafunguliwa nadada akazunguka upande wa jamaa akabong'oa mshua akawa anapiga mambo hadi akakojoa na nahisi alikuwa " anafukuwa uvungu " kwani kuna muda fulani hivi nilikuwa nasikia harufu ya ma.vi na msichana alikuwa akija.mba sana hivyo nikasema ( mtalimbo upo kazini na katika ubora wake ) kisha msichana akavaa pichu yake mshua kawasha gari kaondoka na msichana akazama ndani mwake.

Kinachoniuma


Iledada anazama tu ndani yule mzee ( mwenzangu na mimi ) akaja na kigari chake kama kawaida kumuona baby ( tiaraei ) wake na kilichotokea wakati anagonga mlango afunguliwe akaja beki tatu na kumwambia kuwa dada bado hajarudi na jamaa kila alipokuwa anapiga simu ilikuwa haipatikani hivyo ikabidi aondoke zake shingo upande na dada akawasha simu na kumpigia hili zee tena huku akimuita honey na kumwambia kuwa simu aliizima kwakuwa iliisha chaji na bado yupo mjini hivyo waonane tu kesho asubuhi kumbe dada alikuwa anasikilizia shughuli aliyopewa na basha wake yule mwingine.

Nimejifunza nini?

Hakika siku hizi kumbe hakuna mwanamke wa peke yako hapa Tanzania na hata kama utaona mwanamke anakupenda mno au anakujali kwa hali na mali usidhani kuwa huchapiwi na wenzio. Kumbe wanaume wasiopenda kuoa na badala yake wanaamua tu kuwa masela hawajafanya maamuzi mabaya na nawaunga mkono 100%.

Hitimisho

Sasa ni rasmi kuwa ule mpango wangu wa kufunga pingu za maisha nimeusitisha rasmi na kuanzia sasa kwa maudhi na upuuzi huu wa huyu dada jirani yangu tena niliyekuwa namweshimu nasema " sitaki demu " isipokuwa sasa nitakuwa nawabadilisha tu na mimi kama mboga za majani vile. Na nimeshikwa na hasira hadi nimeshindwa hata kumtakia usiku mwema girlfriend wangu nikihisi kuwa na yeye huko alipo sasa watu " wanafunga mahesabu " na kibaya zaidi hata akisema kesho aje na nimkague papuchini kama katokwa kugongwa nitaishia tu kupandwa na nye.ge na nitambandua kisha nitasahau. Enyi wanaume mnaotegemea kufunga ndoa weekend hii nawatakieni tu kila la kheri ila najua wengi wenu mtakuja kuzijutia hizo ndoa zenu na pesa mlizotumia kuzigharamia huku bado mkiwa mnabanduliwa wake zenu.

Nawatakieni usiku mwema japo kiukweli mimi kwa hasira na machungu niliyonayo juu ya mwanaume mwenzangu kusalitiwa huku nikiona " live " bila chenga sekeseke zima usingizi umeshindwa kuja na sasa nimejikalia zangu tu kitandani. Yaani nilivyoumia utadhani mimi vile! Dada zangu hivi ni nani kawarogeni nyie?

Nawasilisha

Ovyooooo
 
yani hufungi ndoa kisa jirani............unasema tu wew
 
Mkuu GENTA, kwanza hongera, kwa sababu japo sii kweli, lakini una kipaji cha kutunga story nzuri, and make believe it is true story, tatizo ni dogo tuu, umeadd too much color hadi story yako inakuwa too good to be true!.

  • Kama mbabu dereva taxi alimuacha mkrwe kwa ajili ya nyumba ndogo, hakuna logic kwa nini kila mtu aishi kwake!.
  • Wataalamu wa kutengeneza watu wafike na kuwatia mikononi huwa hawajitapi kuwa wamewatengeneza watu wao, bali hupose ili jamii iwaone jinsi wanavyopendwa!.
  • Kama mdada wa tiaraei alikuwa anaishi na beki tatu, na huyo beki tatu ana uwezo wa kumzuia babu asiingie ndani, kwa nini abanduliwe nje ya nyumba tena inje ya gari?!.
  • Kama hiyo gari ndio iliyomleta, kwa nini hiyo ice ceram cone aje ailie nje ya nyumba yake, wasilishane huko walikotoka na kumalizana huko huko?.
  • Tangu lini gari ikanesa nesa kisa tuu kuna mtu anakula icecream?.
  • Kwa wenye magari wengi, hiyo gari tuu ni chumba tosha, kwa nini mtu atoke chumbani kwenda kulala nje ya chumba, tena nje ya nyumbani kwake?!.
  • Uzoefu wa watumia gari kama chumba, huenda kupaki mahali muafaka penye faragha stahiki, ndipo wabadili matumizi ya gari kuigeuza chumba, na kiti kugeuza kitanda, iweje mtu aje nje ya nyumba yake ndipo abadili matumizi hayo?.
  • Gari uone wewe, sauti ya babu akiongea na beki tatu uisikie wewe, sauti ya mdada akimzuga babu uisike wewe, kwani wewe ni omnipresent?.
Kijana una kipaji!, ondoa makasa madogo madogo ya logical chronology, utakuwa mtungaji mzuri, na watungaji wote wazuri, walianzia hadhithi fupi fupi kama hizi, hadi wakaja kuandika vitabu!, humu jf kumbe tuna kina Jaffrey Archer wetu, tuna Robert Ladlum wetu, tuna Fredrick Forthy wetu etc!.

Anyway, asante kwa hadith nzuri!.
Pasco

Umemaliza.

Director: Mussa Banzi. Tehe
 
Huyo mwamaume unayemuonea huruma kwani yeye saint? Si nae ana mke amemuacha kwake, na juu anajitakia kwa kuringa kwenda bagamoyo

Ndio akome sababu yake sio ya huyo binti, na wewe umekuja kumchoresha mwenzako na kwa kusema dirisha kako basi kama msomaji humu atakujua kabisa wewe nani.

Natumaini umepindisha story maana hadi kutaja sehemu ya kazi na kabila mmmmhhh

Umeenda mbali, wewe una yako labda kwa mimi naona unampenda huyo binti na sio mambo ya mzee kuchezewa wakati wewe unayetaka kuoa unabidi uaifate tabia yake ya kuchepuka nawe usiwe hivyo ukioa.

Haya maamuzi ni yako ila unaweza kua unakimbia mk.ojo na kuja kukanyaga ma.vi kama ukimuacha uliyepewa na Mungu sasa hivi. Sababu hauna kisingizio cha eti kukusapoti uamuzi wako mie navyoona.
 
Mi nimemkubali mzee wa intelijensia kwa kuweza kujua mdada aliwasha simu na kumwambia jamaa waonane kesho.... demu akiwa kwake.... zee la itifaki lina macho na masikio yaliyotukuka.

Jamaa yuko kitengo Customer Care...Lol
 
Back
Top Bottom