Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

GENTAMYCINE

Naona majukumu ya "Kazi Maalum" yamekuchosha leo umehamia kwenye Umbea, BTw mbele ya hizo kumbi za sunset kuna mahali wanauza bia bei chee! Umerudi lini mkuu? ID hii unaigwaya kuelekea oktoba! Mzima lakini jirani???!!

Wewe JWTZ Imeshakuharibu Mkuu. Vipi Hujaenda Na Wewe Kutunguliwa ( Kulinda Amani Congo? ) Halafu Mshkaji Unaonekana Chapombe Mno.
 
Mi nimemkubali mzee wa intelijensia kwa kuweza kujua mdada aliwasha simu na kumwambia jamaa waonane kesho.... demu akiwa kwake.... zee la itifaki lina macho na masikio yaliyotukuka.

Sina Mbavu Mie!
 
huyu muanzisha mada huwa simuelewi, inawezakana ni mtoto bado ambaye bado hajapevuka
 

  • "Na Demu Akawasha Simu Na Kumpigia Hili Zee Tena Huku Akimuita Honey Na Kumwambia Kuwa Simu Aliizima Kwakuwa Iliisha Chaji Na Bado Yupo Mjini Hivyo Waonane Tu Kesho Asubuhi "...hayo maneno uliyasikiaje mkuu?​





Ana mtu wake call centre
 
Mkuu GENTA, kwanza hongera, kwa sababu japo sii kweli, lakini una kipaji cha kutunga story nzuri, and make believe it is true story, tatizo ni dogo tuu, umeadd too much color hadi story yako inakuwa too good to be true!.

  • Kama mbabu dereva taxi alimuacha mkrwe kwa ajili ya nyumba ndogo, hakuna logic kwa nini kila mtu aishi kwake!.
  • Wataalamu wa kutengeneza watu wafike na kuwatia mikononi huwa hawajitapi kuwa wamewatengeneza watu wao, bali hupose ili jamii iwaone jinsi wanavyopendwa!.
  • Kama mdada wa tiaraei alikuwa anaishi na beki tatu, na huyo beki tatu ana uwezo wa kumzuia babu asiingie ndani, kwa nini abanduliwe nje ya nyumba tena inje ya gari?!.
  • Kama hiyo gari ndio iliyomleta, kwa nini hiyo ice ceram cone aje ailie nje ya nyumba yake, wasilishane huko walikotoka na kumalizana huko huko?.
  • Tangu lini gari ikanesa nesa kisa tuu kuna mtu anakula icecream?.
  • Kwa wenye magari wengi, hiyo gari tuu ni chumba tosha, kwa nini mtu atoke chumbani kwenda kulala nje ya chumba, tena nje ya nyumbani kwake?!.
  • Uzoefu wa watumia gari kama chumba, huenda kupaki mahali muafaka penye faragha stahiki, ndipo wabadili matumizi ya gari kuigeuza chumba, na kiti kugeuza kitanda, iweje mtu aje nje ya nyumba yake ndipo abadili matumizi hayo?.
  • Gari uone wewe, sauti ya babu akiongea na beki tatu uisikie wewe, sauti ya mdada akimzuga babu uisike wewe, kwani wewe ni omnipresent?.
Kijana una kipaji!, ondoa makasa madogo madogo ya logical chronology, utakuwa mtungaji mzuri, na watungaji wote wazuri, walianzia hadhithi fupi fupi kama hizi, hadi wakaja kuandika vitabu!, humu jf kumbe tuna kina Jaffrey Archer wetu, tuna Robert Ladlum wetu, tuna Fredrick Forthy wetu etc!.

Anyway, asante kwa hadith nzuri!.
Pasco

Thanks For The Compliment My Dear Friend Pasco and Promise I Will Do Something About It. The Story Is Very Factual And Not Fictitious.
 
Maelezo yako sijui yana ukweli gani, after all, jali maisha yako na njia zako, vinginevyo ukiiga mambo ya watu hutafanya ya kwako. Ulijuaje huyu demu alipowasha simu na kumpigia huyu hawara yake wa siku zote. Ni kama unaleta habari tu ya kufikirika zaidi. Unapoteza muda kuangalia watu wanatiana ili upate nini, inaonekana na wewe lofa fulani hivi, sijui huwezi hata kulala ukapumzisha akili na mwili kama huna cha kufanya. Nakushauri Mind your own business

Shikamoo.
 
Kila mtu duniani ana hulka yake na tabia zake..... wapo wanawake tanzania hii hii hawajawahi kuchepuka wala kua na 1 night stand..... ni kitu wamejijengea kwamba labda miili yao sio ya kuchezewa ovyo. Sidhali kama hyo gfriend wako ulimpenda kwa dhati sababu hyo jirani yako anafanana tabia na wanawake wengi sana sasa hivi..... leo june unahairisha harusi kwasababu ya matendo ya jirani? U have ur own reasons and reservations against ur marriage sio hili ulilotuhusisha. Goodluck mate!!!!
 
dah! story za humu wala hata sizielewagi kama zinakuaga za kweli!' mana kuna mambo mawili matatu kwenye hiyo story yanatatanisha, kwanza kw wazoefu wa kula mzigo kwenye gari!' gari inakuaga tinti na mambo yanafanyika humo humo! sidhani kama huwa wanashukaga ndani ya gari ............. na kuhusu simu ilivyopgwa we ulijuaje amemwambia bado yupo mjini waonane kesho.

nyie naona hamujamuelewa jamaa kasema alizoom kila kitu yaani macho alizoom kuelekea kwenye kunyonya ice cream miguu kusubiri mbaba akija beki tatu amfungulie na kumwambia Dada bado yupo mjini pia sikio lake moja akalizoom adi kwenye mdomo wa mdada akasikia akiita Honey simu ilizima wakati huo huo sikio lingine akalizoom kusikiliza hau kutofautisha miguno mbalimbali pia alizoom pua yake mpaka ikawa karibu na mtarimbo ili ipate arufu nzuri toka kwenye tundu linalochorongwa na mtarimbo baadae sana ndipo akazoom na hisia zake hadi kwa mdada na kukuta mdada anajisemea moyoni kuwa namzuga tu huyu mzee ili nipumzike kutokana na shughuli niliyoipata leo.
 
Sio wanawake wote wenye tabia hizo wala wanaume wenye tabia hizo,hivyo ni vitu binafsi vya watu hivyo huna haja ya kuogopa kuoa maana ndoa ni baraka toka kwa Mungu ndio maana kuna viapo pale,ukiishi maisha ya wasiwasi basi hata maendeleo kwako itakuwa ngumu maana ili uyapate changamoto ni muhimu na ukizikimbia kama unavyotaka kukimbia sasa basi tutarajie utaishi maisha ya peke yako milele.
Swali la kizushi,wakati unapiga chapo ulijisikiaje?Maumbile yalibaki kama kawaida maana umesema ulichukia kuona analiwa na jama mwingine?
 
Inaelekea huyo mpangaj ulkuw una mvizia imekuuma sana, wakat anaongea na cm ulckia maongez kvp akat upo room yako nae yake? Au unatak nawe muwe sawa na huyo dada.
Maana ya ndoa ni heshma kubwa ico elezeka. Itafikia hatua kazin wanandoa wanapewa kipau mbele na mialiko waje na wake zao wewe unakuja na kmada, wenzio wana pete mkonon wewe huna. Endelea kuangalia cnema za kufkrik bila uhalisia utaishia kuitwa mzee mitoming.
 
Shingongo at work
Kwann wafanyie nje kwenye gari wakat wapo nje ya nyumba ya huyo dada, yaani sekunde chache tuu za kuingia in a comfy environment? Knowing in mind ww upo kwako na unaweza kuwasikia?? Mmmh aya
 
Back
Top Bottom