Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GENTAMYCINE
Naona majukumu ya "Kazi Maalum" yamekuchosha leo umehamia kwenye Umbea, BTw mbele ya hizo kumbi za sunset kuna mahali wanauza bia bei chee! Umerudi lini mkuu? ID hii unaigwaya kuelekea oktoba! Mzima lakini jirani???!!
Aiseeh!! Kwahiyo umeshuhudia kwa macho yako mdada akifumuliwa JICHO LA HUZUNI?
Mi nimemkubali mzee wa intelijensia kwa kuweza kujua mdada aliwasha simu na kumwambia jamaa waonane kesho.... demu akiwa kwake.... zee la itifaki lina macho na masikio yaliyotukuka.
Wewe JWTZ Imeshakuharibu Mkuu. Vipi Hujaenda Na Wewe Kutunguliwa ( Kulinda Amani Congo? ) Halafu Mshkaji Unaonekana Chapombe Mno.
"Na Demu Akawasha Simu Na Kumpigia Hili Zee Tena Huku Akimuita Honey Na Kumwambia Kuwa Simu Aliizima Kwakuwa Iliisha Chaji Na Bado Yupo Mjini Hivyo Waonane Tu Kesho Asubuhi "...hayo maneno uliyasikiaje mkuu?
Mkuu GENTA, kwanza hongera, kwa sababu japo sii kweli, lakini una kipaji cha kutunga story nzuri, and make believe it is true story, tatizo ni dogo tuu, umeadd too much color hadi story yako inakuwa too good to be true!.
Kijana una kipaji!, ondoa makasa madogo madogo ya logical chronology, utakuwa mtungaji mzuri, na watungaji wote wazuri, walianzia hadhithi fupi fupi kama hizi, hadi wakaja kuandika vitabu!, humu jf kumbe tuna kina Jaffrey Archer wetu, tuna Robert Ladlum wetu, tuna Fredrick Forthy wetu etc!.
- Kama mbabu dereva taxi alimuacha mkrwe kwa ajili ya nyumba ndogo, hakuna logic kwa nini kila mtu aishi kwake!.
- Wataalamu wa kutengeneza watu wafike na kuwatia mikononi huwa hawajitapi kuwa wamewatengeneza watu wao, bali hupose ili jamii iwaone jinsi wanavyopendwa!.
- Kama mdada wa tiaraei alikuwa anaishi na beki tatu, na huyo beki tatu ana uwezo wa kumzuia babu asiingie ndani, kwa nini abanduliwe nje ya nyumba tena inje ya gari?!.
- Kama hiyo gari ndio iliyomleta, kwa nini hiyo ice ceram cone aje ailie nje ya nyumba yake, wasilishane huko walikotoka na kumalizana huko huko?.
- Tangu lini gari ikanesa nesa kisa tuu kuna mtu anakula icecream?.
- Kwa wenye magari wengi, hiyo gari tuu ni chumba tosha, kwa nini mtu atoke chumbani kwenda kulala nje ya chumba, tena nje ya nyumbani kwake?!.
- Uzoefu wa watumia gari kama chumba, huenda kupaki mahali muafaka penye faragha stahiki, ndipo wabadili matumizi ya gari kuigeuza chumba, na kiti kugeuza kitanda, iweje mtu aje nje ya nyumba yake ndipo abadili matumizi hayo?.
- Gari uone wewe, sauti ya babu akiongea na beki tatu uisikie wewe, sauti ya mdada akimzuga babu uisike wewe, kwani wewe ni omnipresent?.
Anyway, asante kwa hadith nzuri!.
Pasco
Babu tunaelekea kupata Lara1 wa kiume. . . . . .a.k.a popoma
Story tamu hii mkuu
Maelezo yako sijui yana ukweli gani, after all, jali maisha yako na njia zako, vinginevyo ukiiga mambo ya watu hutafanya ya kwako. Ulijuaje huyu demu alipowasha simu na kumpigia huyu hawara yake wa siku zote. Ni kama unaleta habari tu ya kufikirika zaidi. Unapoteza muda kuangalia watu wanatiana ili upate nini, inaonekana na wewe lofa fulani hivi, sijui huwezi hata kulala ukapumzisha akili na mwili kama huna cha kufanya. Nakushauri Mind your own business
dah! story za humu wala hata sizielewagi kama zinakuaga za kweli!' mana kuna mambo mawili matatu kwenye hiyo story yanatatanisha, kwanza kw wazoefu wa kula mzigo kwenye gari!' gari inakuaga tinti na mambo yanafanyika humo humo! sidhani kama huwa wanashukaga ndani ya gari ............. na kuhusu simu ilivyopgwa we ulijuaje amemwambia bado yupo mjini waonane kesho.
wewe auna mchepuko