hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,544
You make major life decision basing on what you saw from your neighbour?! You, either didn't love and trust her that much or una lako jambo(hiki ni kisingizio tu), period!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Konzi apigwe mwingine, nundu utoke wewe...!!!
"Na Demu Akawasha Simu Na Kumpigia Hili Zee Tena Huku Akimuita Honey Na Kumwambia Kuwa Simu Aliizima Kwakuwa Iliisha Chaji Na Bado Yupo Mjini Hivyo Waonane Tu Kesho Asubuhi "...hayo maneno uliyasikiaje mkuu?
Huhitaji kuquote mada husika ili ucomment labda kama ungekua unamjibu mchangia mada mwingine. Sasa umequote uzi wote ili uandike mstari mmoja smh
Huhitaji kuquote mada husika ili ucomment labda kama ungekua unamjibu mchangia mada mwingine. Sasa umequote uzi wote ili uandike mstari mmoja smh
Babu tunaelekea kupata Lara1 wa kiume. . . . . .a.k.a popomaMi nimemkubali mzee wa intelijensia kwa kuweza kujua mdada aliwasha simu na kumwambia jamaa waonane kesho.... demu akiwa kwake.... zee la itifaki lina macho na masikio yaliyotukuka.
Papuchi haina makombo, dawa yake maji tu tena ya chooni halafu inakua mpyaa.
Mkeo ni mke wako usiku tu ukiwa nae kitandani. hata huyu girl friend wako hajawahi kukupa mvunguni tu kwa sababu umetangaza ndoa lakini wenzio walio anza nae wanapewa sana.
Ukimchunguza demu sana itakula kwako
uzi wako mdau ni wa kichochezi sana.....yaani namuangalia wife hapa.....natamani nimuamshe kwa kofi kali la kelb.....