Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

Hakika kwa hiki nilichokiona na kukishuhudia mwenyewe kwa macho yangu usiku huu hapa kitaani kwangu natangaza rasmi kusitisha kwa muda usiojulikana kufunga ndoa yangu iliyokuwa ifanyike mwishoni mwa mwaka huu disemba.

Nini kimetokea?

Hapa nilipopanga jirani yangu anaishi dada mmoja ambaye ni muajiriwa wa ( tiaraei ) Kariakoo ( jina nalihifadhi ) ambaye ametokea kuwa na mahusiano na mtu mzima fulani hivi ambaye ni dereva taxi wa Kinondoni kwa Manyanya na nakumbuka ni huyu huyu dada ndiye aliyemshawishi huyu mzee aachane na mkewe na waanzishe mahusiano yao na hili lizee likakubali ila kwa sharti kwamba kila mtu kwa sasa akae kwake ambapo hili zee ( dereva taxi ) linakaa bunju na huyu dada yupo kitaani Mbezi Makonde maeneo ya kumbi hizi za sunset na mbaba wa watu kakubali kulelewa na kuwa mtumwa kwa huyu binti kiasi kwamba kila siku asubuhi ni lazima huyu zee jinga aje ampitie hapa na kumpeleka kazini ( TRA ) Kariakoo na jioni anamrudisha kitaani. Mzee wa watu masikini ya Mungu anahadaiwa kwa kudanganganywa hapa na pale na yeye akiridhika na kubweteka tena huku akiwatambia wenzake kuwa huyu msichana kwake hachomoki kwani ameshamtengeneza kwa babu ( mganga ) Bagamoyo na kwamba vitu (penzi) analompa hawezi kwenda nje kwa mwanaume mwingine yoyote nikiwemo hata mimi mentali.

Siku zote jamaa ni lazima aje hapa kwa huyu dada usiku na wanabanduana hadi saa sita (siyo samweli ) usiku kisha anaondoka lakini cha ajabu leo huyu msichana karudi peke yake tena saa moko hivi kisha mida ya saa mbili akasepa zake na bahati mbaya sana kwake na nzuri kwangu ni kwamba muda si mrefu nikiwa nimeshajilalia zangu nikasikia mlio wa gari unakuja upande wa dirisha langu ambako ndiyo njia pia ya kuelekea kwake na huyu ( TRA ) baby kabila Mchaga na msukuma mara gari likasimama ghafla karibu kabisa na lilipo dirisha langu na hapo hapo tena taa nazo zikazimwa ila gari ikiwa inaunguruma tu. Hivyo na mimi kidume nikasema niangalie na niwe standby isije ikawa wenyewe ( wazee wa ngwasuma ) majambazi wamekuja kuniibia hivyo ikanibidi nikodoe mimacho yangu mikubwa dirishani niangalie nini kinaendelea ili kama ni wao kweli basi taratibu nianze kutafuta msalaba wangu wa bikira maria nisali kabla sija resti ini pisi lakini wakati naendelea kusali nikaona gari inatikisika hivyo ikanibidi sasa mimacho yangu hii mikubwa nii zoom mithili ya miwani ile ya 3d nione nini kinaendelea. Jamani hamuwezi amini kumbe alikuwa ni huyu huyu dada ananyonya ice cream ya mwanaume mwingine na kama hiyo haitoshi walipomaliza tu kunyonyana mule katika gari milango ya gari ikafunguliwa nadada akazunguka upande wa jamaa akabong'oa mshua akawa anapiga mambo hadi akakojoa na nahisi alikuwa " anafukuwa uvungu " kwani kuna muda fulani hivi nilikuwa nasikia harufu ya ma.vi na msichana alikuwa akija.mba sana hivyo nikasema ( mtalimbo upo kazini na katika ubora wake ) kisha msichana akavaa pichu yake mshua kawasha gari kaondoka na msichana akazama ndani mwake.

Kinachoniuma


Iledada anazama tu ndani yule mzee ( mwenzangu na mimi ) akaja na kigari chake kama kawaida kumuona baby ( tiaraei ) wake na kilichotokea wakati anagonga mlango afunguliwe akaja beki tatu na kumwambia kuwa dada bado hajarudi na jamaa kila alipokuwa anapiga simu ilikuwa haipatikani hivyo ikabidi aondoke zake shingo upande na dada akawasha simu na kumpigia hili zee tena huku akimuita honey na kumwambia kuwa simu aliizima kwakuwa iliisha chaji na bado yupo mjini hivyo waonane tu kesho asubuhi kumbe dada alikuwa anasikilizia shughuli aliyopewa na basha wake yule mwingine.

Nimejifunza nini?

Hakika siku hizi kumbe hakuna mwanamke wa peke yako hapa Tanzania na hata kama utaona mwanamke anakupenda mno au anakujali kwa hali na mali usidhani kuwa huchapiwi na wenzio. Kumbe wanaume wasiopenda kuoa na badala yake wanaamua tu kuwa masela hawajafanya maamuzi mabaya na nawaunga mkono 100%.

Hitimisho

Sasa ni rasmi kuwa ule mpango wangu wa kufunga pingu za maisha nimeusitisha rasmi na kuanzia sasa kwa maudhi na upuuzi huu wa huyu dada jirani yangu tena niliyekuwa namweshimu nasema " sitaki demu " isipokuwa sasa nitakuwa nawabadilisha tu na mimi kama mboga za majani vile. Na nimeshikwa na hasira hadi nimeshindwa hata kumtakia usiku mwema girlfriend wangu nikihisi kuwa na yeye huko alipo sasa watu " wanafunga mahesabu " na kibaya zaidi hata akisema kesho aje na nimkague papuchini kama katokwa kugongwa nitaishia tu kupandwa na nye.ge na nitambandua kisha nitasahau. Enyi wanaume mnaotegemea kufunga ndoa weekend hii nawatakieni tu kila la kheri ila najua wengi wenu mtakuja kuzijutia hizo ndoa zenu na pesa mlizotumia kuzigharamia huku bado mkiwa mnabanduliwa wake zenu.

Nawatakieni usiku mwema japo kiukweli mimi kwa hasira na machungu niliyonayo juu ya mwanaume mwenzangu kusalitiwa huku nikiona " live " bila chenga sekeseke zima usingizi umeshindwa kuja na sasa nimejikalia zangu tu kitandani. Yaani nilivyoumia utadhani mimi vile! Dada zangu hivi ni nani kawarogeni nyie?

Nawasilisha

kwa hiyo mkuu GENTAMYCINE ndio umekuja kunianika humu? kumbe ww ni jirani yangu? i m very sorry pliiiz
 
Uahirishe kuoa sababu ya hilo. Kweli mazingira yana nguvu ya kubadilisha maana wewe kwa kuona tu umebadili hata msimamo wako. Your very weak! You have permitted the evil influence to subdue your feelings, so have volunteered to be slave to that evil neighbour. Acha kutaka kujifunza ndoa kwa watu iliowashinda utashindwa na wewe jifunze kwa watu waliofanikiwa.
 
Hii stori ina walakini,kwanini unamwita lizee?,ulijuaje kama alipompigia simu hakupatikana,na ulijuaje kama baada ya lizee kuondoka demu wa tiaraei alimpigia simu,how distance ya ujirani wenu hadi usikie mtu anapojamba au alikuwa anajamba kama bomu,na harufu ya mavi uliisikiaje,af ulijuaje kama huyu dada ndo aliemshawishi mzee aachane na mkewe au alikuwa anakutuma wewe umkowadie kwa mzee ndo maana umpendi hata unamwita lizee,,UMBEA HUO LOOOL...
 
Kwa kiasi kikubwa ya maisha yako mtoa mada inaonekana huna maisha ya uhalisia ila unaishi kwa influence (ushawishi) wa wengine na kuathiriwa na yale wanayoyaishi.
Endelea na maisha hayo hayo mkuu. Yawezekana kuna siku moja wakati ushazeeka ndo ukaja kuishi maisha yako kiuhalisia.
 
Huuuuuuuuuuhh...! But huyo mzee yeye si ana Mke..? Hapo huyo popo yupo in business na ogopa sana mwanamke mzuri koz kabla hujamjua watu walishavumbua dhahabu soo wewe unaendeleza tuu uwekezaji..! Mmmhhh kweli "Mapenzi ya kweli ni ulaya tuu huku bongo ni bongo movie..!
 
if you take this too serious then you rill need some church......

kumbe wafanye wengine uchafu ikuaffect wewe na maamuz yako, then you don`t know what you want with your life.... u have a careless leaving.
 

  • "Na Demu Akawasha Simu Na Kumpigia Hili Zee Tena Huku Akimuita Honey Na Kumwambia Kuwa Simu Aliizima Kwakuwa Iliisha Chaji Na Bado Yupo Mjini Hivyo Waonane Tu Kesho Asubuhi "...hayo maneno uliyasikiaje mkuu?






na wewe kumbe kumbe umeona...
 


    • @pasco Tangu lini gari ikanesa nesa kisa tuu kuna mtu anakula icecream?. uenda kuna style nyingi za kula icecream..ngoja aje kutueleza



 
dah! story za humu wala hata sizielewagi kama zinakuaga za kweli!' mana kuna mambo mawili matatu kwenye hiyo story yanatatanisha, kwanza kw wazoefu wa kula mzigo kwenye gari!' gari inakuaga tinti na mambo yanafanyika humo humo! sidhani kama huwa wanashukaga ndani ya gari ............. na kuhusu simu ilivyopgwa we ulijuaje amemwambia bado yupo mjini waonane kesho.
 
kwa hiyo mkuu GENTAMYCINE ndio umekuja kunianika humu? kumbe ww ni jirani yangu? i m very sorry pliiiz

Kwa Hiyo Kumbe Uliyekuwa Unabanduliwa Usiku Ule Na Kunitesa Mimi Kwa Kunifanya Nikukodolee Ile Mimacho Yote Ulikuwa Ni Wewe? Ebhana Ila Unajua Kweli Kukata Viuno!
 
Wakuu huyu GENTAMYCINE anawekaga mabandiko mengi yakufikirika!
Sijui kama hatujadanganywa hapa!
 

  • "Na Demu Akawasha Simu Na Kumpigia Hili Zee Tena Huku Akimuita Honey Na Kumwambia Kuwa Simu Aliizima Kwakuwa Iliisha Chaji Na Bado Yupo Mjini Hivyo Waonane Tu Kesho Asubuhi "...hayo maneno uliyasikiaje mkuu?​

Kwani Ukiwa Unapiga Chabo Masikio Nayo Huwa Yanakwenda Likizo?
 
Back
Top Bottom