Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

Story nzuri, ila kuna baadhi ya sehem umekosea kidgo.

mkuu umesikia anapigwa kitu hadi anajamba na kutoa harufu ya mavi walikuwa dirishani kwako au mkuu wew ni vampire au wolf kunasa vitu vya mbali.

Huyu dada kamwambia mzee wake kuwa simu imezima chaji na hajarudi home atakuwa amechaji wapi hapa LOGIC UMEMKATISHA HUYO BINTI, but mazungumzo ya simu umeyasikia ukiwa chumbani kwako walikuwa wanaongea kwa sauti sana…?
 

  • "Na Demu Akawasha Simu Na Kumpigia Hili Zee Tena Huku Akimuita Honey Na Kumwambia Kuwa Simu Aliizima Kwakuwa Iliisha Chaji Na Bado Yupo Mjini Hivyo Waonane Tu Kesho Asubuhi "...hayo maneno uliyasikiaje mkuu?​




Nahisi alienda kwenye dirisha la huyo mwanamke
 
Wimbo wa Mwana-FA wa Bado Niponipo Sana bado utaendelea kutamb miaka na miaka sababu ya maudhui yake ni ya kweli kabisa.
 
Daima tunaish kwa iman tu,mapnz ndivy yalivyo sikuhz.
mapenz pesa starehe matumizi
 
. Hakika Siku Hizi Kumbe Hakuna Mwanamke Wa Peke Yako Hapa Tanzania Na Hata Kama Utaona Mwanamke Anakupenda Mno au Anakujali Kwa Hali Na Mali Usidhani Kuwa Huchapiwi Na Wenzio. Kumbe Wanaume Wasiopenda Kuoa Na Badala Yake Wanaamua Tu Kuwa MASELA Hawajafanya Maamuzi Mabaya Na Nawaunga Mkono 100%. a[/B said:
Dip woooote!!!! Mm mwamninifu kwake
 
. Hakika Siku Hizi Kumbe Hakuna Mwanamke Wa Peke Yako Hapa Tanzania Na Hata Kama Utaona Mwanamke Anakupenda Mno au Anakujali Kwa Hali Na Mali Usidhani Kuwa Huchapiwi Na Wenzio. Kumbe Wanaume Wasiopenda Kuoa Na Badala Yake Wanaamua Tu Kuwa MASELA Hawajafanya Maamuzi Mabaya Na Nawaunga Mkono 100%. a[/B said:
Sio woooote!!!! Mm mwamninifu kwake
 
Well sioni mantiki yyte kuhusu uamuzi wako wa kuhairisha ndoa kwa sample ya mwanamke mmoja mjinga uka conclude wote wako sawa nae kitabia.

Katika maisha ya kila siku tunaona vitu kwa mitazamo miwili tu, kama: Nzuri/Mbaya, Joto/Baridi, Kushoto/Kulia, Juu/Chini... n.k...
Hivyo kila mtu ana mtazamo wake... sasa like a coin kuwa na bichwa na mwenge... ndo hivyo watu walivo kitabia, wapo wazuri kitabia na wabaya kitabia... hakuna mwenye tabia nzuri na mbaya kwa pamoja....

So kuna uwezekano huyo dada wa TRA akawa BICHWA na huyo girlfriend wako akawa MWENGE... alafu wewe una conclude ni BICHWA umekosea....
 
[FONT=Tahoma, Calibri, Verdana, Geneva, sans-serif]Kumsaidia huyo binti na tena wewe ulivyo mtu wa Mungu nakushauri "Propose umuoe" atatulia na vile tena hana shida ya kipato[/FONT]
 
Maelezo yako sijui yana ukweli gani, after all, jali maisha yako na njia zako, vinginevyo ukiiga mambo ya watu hutafanya ya kwako. Ulijuaje huyu demu alipowasha simu na kumpigia huyu hawara yake wa siku zote. Ni kama unaleta habari tu ya kufikirika zaidi. Unapoteza muda kuangalia watu wanatiana ili upate nini, inaonekana na wewe lofa fulani hivi, sijui huwezi hata kulala ukapumzisha akili na mwili kama huna cha kufanya. Nakushauri Mind your own business
 
Yaani nilivyoisoma hiyo hadithi yako pale Bamaga lazima ukiipeleka upate Bingo
 
Duh... Kwa hy kisa umeona mwingine anagegeduliwa ukajua na wako mkatoliki wanamgegedua? Huyo dada kaolewa? Km bado ujue yuko kwenye kutafuta usimfananishe na biharusi mtarajiwa..

Watu hutofautiana tabia ukute wako anakupenda na kukuheshim ila fikra zako potofu zinakulostisha.. Mbna watu wameolewa/wameoa me/ke wanacheat watu wapo tuu? Ss nenda utakako urudi na ngoma na stress zaidi"

Acha kufwatilia maisha ya watu jifunze kuamua ww km ww... Hlf hakuna aliyekamilika we mwenyewe hapo Ni mdhaifu tyr"
 
huwezi acha kuoa kwa kitu ambacho hakijakutokea wewe.Mimi wanawake wangu nawaambiaga ukichepuka poa but jali cha kwanza afya yako,cha pili nisijue na cha tatu watu wanaonifahamu wasijue,cha NNE usifanyie uchafu wako nyumbani kwangu...sasa Huyo demu alikosea no bora wangeenda gesti ya mbali wakafanya uchafu wao
 
Back
Top Bottom