Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

Waache hawa watoto wa 2000 hawana busara .uzuri wataoa watazaa mtoto mmoja au wawili watakufa tuone hizo familia zao zitaishije
Naandaa Uzi kusimulia madhira wanayopata wanawake , ni mazito sana. Yanatisha na yanahuzunisha. Mpaka wanakuwa single mothers wameponzwa na mapenzi ya kweli.

Waliwaamini watu wasio na mwelekeo
Kama tulivyomwamini Mwenyekiti
 
Nilidhani tatizo lingine labda bado anakitoa kwa aliye mzalisha kumbe ni kutoa buku7 tu ndugu yangu?Kwanini usifanye kama unamsaidia tu.?Labda kama ako na tabia mbovu.
Na pia kama huna unamwambia tu leo sina tuangalie siku nyingine.

Shida wanaume wa bongo hawataki kuishi maisha halisi. Sasa vibomu vikizidi anakula nduki wakati alijifanya ana hela.
 
Naandaa Uzi kusimulia madhira wanayopata wanawake , ni mazito sana. Yanatisha na yanahuzunisha. Mpaka wanakuwa single mothers wameponzwa na mapenzi ya kweli.

Waliwaamini watu wasio na mwelekeo
Kama tulivyomwamini Mwenyekiti
naskia wanapenda bad boys, wale wanaume wahuni wakabaji na wavuta bangi

naskia ndo kiini cha tatizo
 
Yaani nimeopoa Dem mkali kuja kushtukia ana watoto wawili alafu ni 24 tu ukimuangalia ni msafi ukimuacha ndani unakuta mazingira safi chakula kizuri na.kana heshima ila ukimuacha tu inabidi umuachie hela ya matumizi ya ndani alafu atakwambia naomba hela nitume nyumbani wanangu wale yaani watoto wanamtegemea ukimuuliza baba yao yupo.wapi anakwambia kashaowa. Hivyo.hausiki na malezi ya watoto

Yaani nitoke niache 10,000 ,12000 mezani alafu nitoe yena 7000 atume kwao nikaona hapa sio pa kuweka kambi nikamwambia tu nna ugeni wa ndugu zangu hivyo aende kwao wakiondoka atarudi

Ingekuwa wewe ungekaa nimetimua mbio yeye.mwenyewe haamini kataa single mother kwa usalama wako
Baba yako yeye anasemaje kuhusu kuishi na kulea mke wa mtu na watoto wake maana sisi tulisha sema hamtaki kusikia?
 
Shida wanaume wa bongo hawataki kuishi maisha halisi. Sasa vibomu vikizidi anakula nduki wakati alijifanya ana hela.
Hapana, hao single mothers ndio hawana maisha halisi!

Kwanza, wengi wanakuwa single mothers by choice! Mtoto wa miaka 24, ana watoto wawili, kila mmoja na baba'ake!

Vibinti vikiona Paula kazaa, vinasema roli modo, na vyenyewe vinategesha huko, vinakataliwa, sasa hivi ndo useme ni vi-victim?

Kabla ya kukutana na mwanaume mwingine, penginge aliye serious, alikuwa anawaleaje?
  • Wangekuwa wanaendelea hivyo hivyo bila kumbebisha mtu mzigo usiomhusu
  • Mtu mwenyewe anogewe, aone haja ya kumsaidia, sio kumfanya yeye ndio baba mzazi wa watoto wako wa kuwatafuta kwa starehe zako bila plan za maisha!

Hakuna mwanaume anayepindua kwa mwanamke mjanja, wote wangelea hao watoto bila lawama!
- Ni sawa na jinsi wanawake walivyowagutua wanaume kwenye KUOMBA OMBA hela hovyo, sasa imekuwa NIPE NIKUPE. La, classicsex workers soko limeongezeka, ujinga wa vitoto vya 2000 ndo umekuwa mtaji wa wanaume wengi kuwageuza mashine ya kufyatulia matofali.
 
Back
Top Bottom