Kwa niliyoshuhudia leo, Godbless Lema yupo sahihi kabisa kuhusu bodaboda

Kwa niliyoshuhudia leo, Godbless Lema yupo sahihi kabisa kuhusu bodaboda

mahindi hayaoti mjini

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
2,120
Reaction score
2,709
Jamaa wa watu akiwa na mzigo kichwani na mkononi akiwa anavuka barabara huku bodaboda akilazimisha kupita mbele ya jamaa na kupelekea kuteleza na kuanguka

Imekuwa ni sababu ya bodaboda zaidi ya ishirini kumtembezea kichapo jamaa wa watu na asiwepo hata wa kumtetea mpaka wana usalama walipofika, kwa kweli hii ni laana na zaidi ya laana, hili suala la bodaboda kujichukulia sheria mkononi iko siku litaleta athari kubwa sana iwapo serikali haitachukua hatua sasa

Hili ni bomu kuzidi la atomiki
 
Jamaa wa watu akiwa na mzigo kichwani na mkononi akiwa anavuka barabara huku bodaboda akilazimisha kupita mbele ya jamaa na kupelekea kuteleza na kuanguka

Imekuwa ni sababu ya bodaboda zaidi ya ishirini kumtembezea kichapo jamaa wa watu na asiwepo hata wa kumtetea mpaka wana usalama walipofika, kwa kweli hii ni laana na zaidi ya laana, hili suala la bodaboda kujichukulia sheria mkononi iko siku litaleta athari kubwa sana iwapo serikali haitachukua hatua sasa

Hili ni bomu kuzidi la atomiki
Watu watamwelewa Lema taratibu.
 
Boda hawana ustaarabu tu sio kwamba hawajielewi ila wakishakaa pamoja wanashauriana ujinga na wanavunja sheria alafu wakifika kwenye mamlaka hawawezi hata kujitetea
 
Jamaa wa watu akiwa na mzigo kichwani na mkononi akiwa anavuka barabara huku bodaboda akilazimisha kupita mbele ya jamaa na kupelekea kuteleza na kuanguka

Imekuwa ni sababu ya bodaboda zaidi ya ishirini kumtembezea kichapo jamaa wa watu na asiwepo hata wa kumtetea mpaka wana usalama walipofika, kwa kweli hii ni laana na zaidi ya laana, hili suala la bodaboda kujichukulia sheria mkononi iko siku litaleta athari kubwa sana iwapo serikali haitachukua hatua sasa

Hili ni bomu kuzidi la atomiki
Boda boda sio laana tu Bali wale 150% ni zaidi ya laana
 
Unambiwa bawacha ndio chanzo mvua kutuonyesha na joto Kali huko Moshi, chadema ni laana si utani
 
Vibaka wengi wamejificha kwenye u bodaboda na makahaba wengi wamejificha kwenye kichaka cha saloon za kike hasa za kiume[emoji848]
 
Back
Top Bottom