Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Imemaanisha kwamba tajiri kuingia kwenye ufalme wa Mungu Ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu ya sindano!
 
Imemaanisha kwamba tajiri kuingia kwenye ufalme wa Mungu Ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu ya sindano!
Yea baba that's how it's Ila watu wamemeza matango pori wakahisi utajiri ni mbaya, Ila in reality utajiri sio mbaya, tajiri kuingia kwenye ufalme wa Mungu ni sawa sawa na ngamia kupenye kwenye tundu la sindano
 
Kuna Jiji linaitwa Kinshasa huko sio pa kitoto barabara zake bongo hakuna popote
Kusema Kinshasa ni zaid ya dar ni either huijui dar au huijui Kinshasa.
kilichokuchanganya ni hyo inaitwa Gombe avenue,Kinshasa ni mji mkubwa saana na kuna watu wengi saana ila kimaendeleo haipasogelei dar hata kidogo,umeme tu ni mtihani mji mzima umejaa majenereta kama Lagos,watu ni masikin mno,hakuna maajabu kabisa matajiri wachache hujichimbia kwenye exclusive gated community kama mount-fleury, karibia matajiri wote wa congo ndo wanaishi hapo ila the rest Kinshasa ni ya kawaida mno imezidiwa saana na dar es salaam.Ligi ya dar ni Nairobi tu hyo miji mingine haitoboi.
 
Wewe hujasoma historia ya Africa, are you serious? Ndiyo maana wasomi wanasema siku zote achaneni na hizi dini za kuletewa maana zinawaharibu Waafrika akili kuaminishwa vitu visivyo na vichwa na kudharau historia yetu.
Daaah Yaani ulivyo ni quote kama vile una hakika nimeenda shule, basi bana nilitaka kujua tu . Yaishe mkuu
 
Unaota kumbe..Ethiopia iizidi Kenya??

sijaandika hilo nikiwa na mahaba ya Shakahola kama wewe. soma mwenye hapa chini.​

Nchi 10 tajiri zaidi barani Afrika mwaka 2016​


CHANZO CHA PICHA,WORLD BANK
26 Julai 2022
Bara la Afrika linatajwa kuwa maskini zaidi duniani, huku umaskini wa bara hilo ukichangiwa na hali ya uchumi kuyumba, ukosefu wa usalama, ufisadi, vita vya wenyewe kwa wenyewe na vitendo vya kigaidi katika bara hilo.
Shirika la Fedha Duniani IMF na Benki ya Dunia, katika ripoti ya pamoja iliyochapishwa mwishoni mwa 2021, zimetangaza nchi 10 tajiri zaidi barani Afrika.

1. Misri​


Misri imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuwa na ukuaji wa juu wa uchumi kulingana na ripoti hiyo.
Mapato ya kila mwaka ya Misri ni $1.38 trilioni.
Misri ina jumla ya watu milioni 102, na nchi hiyo inategemea kilimo, uchimbaji madini na utalii.

2. Nigeria​


Nigeria, ambayo ni ya pili kwa utajiri barani Afrika, ina pato la taifa la dola trilioni 1.14. Nigeria ina jumla ya watu milioni 206.1, ikiifanya kuwa nchi yenye watu wengi zaidi Afrika Uchumi wa Nigeria unategemea mafuta na kilimo.

3. Afrika Kusini​


Afrika Kusini, ambayo ni nchi tajiri zaidi barani Afrika, inaorodheshwa ya tatu ikiwa na pato la taifa (GDP), inayofikia dola bilioni 861.93 kwa mwaka.
Nchi hiyo ina watu 59,899,576, uchumi wake unategemea madini , hususan dhahabu na mali asili nyingine.

4. Algeria​


Algeria ni nchi ya tatu tajiri zaidi barani Afrika, na pato la taifa (GDP) ni dola bilioni 532.57.
Nchi hiyo ina watu 44,911,520 na uchumi wake unategemea mafuta na gesi asilia inayouzwa nje ya nchi.

5. Morocco​


Morocco, ambayo iko Afrika Kaskazini na inashikilia nafasi ya nne kati ya nchi 10 tajiri zaidi barani Afrika na Pato la Taifa (GDP) la nchi hiyo ni dola bilioni 302.77.
Nchi hiyo ina wakazi 37,462,423 na uchumi wake unategemea kilimo, madini na utalii.

6. Ethiopia​


CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Ethiopia, ambayo iko Afrika Mashariki na kushika nafasi ya sita kati ya nchi tajiri zaidi barani Afrika, ina Pato la Taifa la $298.57 bilioni kwa mwaka.
Ethiopia ina wakazi milioni 115 na uchumi wake unategemea Kilimo .

7. Kenya​


CHANZO CHA PICHA,NATIONALGEOGRAPHY
Kenya, ambayo inapatikana eneo la Afrika Mashariki na imeorodheshwa ya saba miongoni mwa kumi tajiri zaidi barani Afrika, ina Pato la Taifa la kila mwaka la $269.29 bilioni.

Kenya ina watu 54,039,625, na uchumi wake unategemea kilimo, utalii na biashara.

CHANZO CHA PICHA,COVER THE WIKI

8. Angola​

Angola, ambayo iko eneo la kati mwa Afrika, inaorodheshwa ya nane miongoni mwa nchi kumi tajiri zaidi barani Afrika. Ina Pato la Taifa la kila mwaka la bilioni 217.97 za Kimarekani.
Angola ina jumla ya watu 35,601,398, na uchumi wake unategemea mafuta na madini.

9. Ghana​


CHANZO CHA PICHA,WIKIPEDIA
Ghana, ambayo ipo magharibi mwa Afrika inaorodheshwa ya tisa miongoni mwa nchi 10 tajiri zaidi katika bara la Afrika ina jumla ya pato la dola bilioni 193.63 kwa mwaka.
Ghana ina watu 33,483,283, na uchumi wake unategema uzalishaji wa viwanda kama vili teknolojia na uchukuzi.

10. Sudan​


CHANZO CHA PICHA,AFP
Hatimaye, Sudan, ambayo ipo katika eneo la Afrika Mashariki, inaorodheshwa ya 10 miongoni mwa nchi tajiri barani Afrika, ikiwa na pato la taifa la dola bilioni 189.87 za Kimarekani kwa mwaka.
Sudan ina watu 46,888,316, na uchumi wake unategemea mafuta na kilimo.
Ripoti hiyo ilisema kuwa bara la Afrika lina mali asili nyingi, lakini nchi katika bara hilo zinatumia mali hizo kuzua vita, ufisadi na misukosuko ya kisiasa ambayo imechangia masuala haya.
 
Umenena vyema kuna shida kwenye vichwa vya baadhi ya wabongo , unashangaa ya Burundi wakati Dar tu watu hawali milo mitatu
 
Hata Nairobi ni ndogo kuliko dar ila imejengekq mno kuliko dar
 
Uganda hawana miji yao sio mikubwa ila vijijini watu wana maisha mazuri sana waganda wanajua kutafuta pesa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Salum Bitchuka! Muasisi wa Taifa la Burundi! ( wapigania Uhuru )

Alafu kuna Mtanzania ndio aliyeandika Barua ya Kuomba Uhuru wa Burundi ntaambatanisha picha zao muda si Mrefu
 
Nakubaliana na wewe hakukua na dini inaitwa ukristo kabisaa.Hiz ni mambo tukajianzishia wenyewe tu.Kulikua na wafuasi wa kristo so hata leo wanaweza wakawepo wafuas wa kristo na wasiambatane na ma kanuni ya hii dini
Lakini neno, "kristo', maana yake ni," mfalme " japo lipo kigiriki,,
Kiyahudi wakati wako chini ya warumi,, walikua wakisubiri huyo mfalme,, aje awakomboe toka kwa mkoloni Mrumi,,
Masihi wa kwanza wa wayahudi alikua ni mfalme wa Persia,, King cyrus, ambae aliwakomboa wayahudi toka utumwani Babel, na kuwarudisha caanan,
Wakati wa yesu,, wayahudi walikuwa wanatawaliwa na warumi,, hivyo walikuwa wakitegemea ujaji wa masihi mwingine aje awakomboe toka utawala wa kikoloni,
Yesu alipokua, alianzisha hizo harakati, akijiita yeye ndo masihi,, Mfalme wa wayahudi,,
Na pia akajisema anatoka ukoo wa mfalme Daud,, hivyo anakidhi vigezo vya kuwa masihi na mfalme wa uyahudi,
 
Hakuna wale mademu warefu kama Rwanda? Ninachofurahi, nimefarijika kusikia kuna mtu anaitwa Nywandi. Nilikutana naye Bukoba mtu kama huyo miaka ya 70.
 
Nitakuuliza siku ukijua nini maana ya neno tajiri
 
Robo tatu ya watanzania hawafuati dini kabisa ndio kusema ni matajiri?
 
Kitendo cha kusafiri na ugali ni uchafu tosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…