Kwa niliyoyashuhudia Gongolamboto leo hakika nitawashangaa sana wapiga kura wa Tarime kama watamchagua Mwita Waitara

Kwa niliyoyashuhudia Gongolamboto leo hakika nitawashangaa sana wapiga kura wa Tarime kama watamchagua Mwita Waitara

Mkuu nasikia unalitaka Jimbo😂, anyway Waitara alishajua ndio maana yupo kubadili uwanja wa mapambano. Wasaliti wote watalipwa October.
 
Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.

Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.

Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.

Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.

Maendeleo hayana vyama!
Huku gongo la mboto kulikuwa na madaraja matatu,la ulongoni B,pugu,na kinyerezi hayo mawili pugu na ulongoni yalishaondoka na maji miaka miwili au mitatu sasa,hili la kinyerezi siwezi kusema ni daraja ila kivuko kidogo tu nacho kimeondoka,huku tupo kisiwani yaani parking za magari tunaacha gongo la mboto alafu tunavuka maji ya kiuno kwenda kazini what a shame..,huyo waitara ukiacha huku gongo la mboto huko kitunda na maeneo yake ndio hakufai kabisa,akiongea mishipa ya shingo imemsimama utafikiri anamaanisha kumbe hamna kitu, ameshaona ana 100 asilimia ya kutopata hata kura moja huku Ukonga,huko tarime mwaka huu akipita nitaamini wanasiasa ni washirikina hundred percent.
 
Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.

Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.

Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.

Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.

Maendeleo hayana vyama!
Bila kutaja Chadema huendi Choo? Waulize MaCCM wenzio walimpata wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwita Waitara kajiua kisiasa tuulizane tu mazishi lini na wapi.
 
Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.

Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.

Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.

Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.

Maendeleo hayana vyama!
Nchi hii imejaa kundi kubwa sana la wanasiasa ambao anapaswa kuwa LEBENSUWERTES LEBENS.

basi tu tunakosa vitendea kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahhaha naona umeamua kushiriki siasa chafu. Acha apambane nazo huko ccm.

Sisi wapiga kura tutawanyoosha wahuni wotee.

Sent using iphone pro max
 
Huku gongo la mboto kulikuwa na madaraja matatu,la ulongoni B,pugu,na kinyerezi hayo mawili pugu na ulongoni yalishaondoka na maji miaka miwili au mitatu sasa,hili la kinyerezi siwezi kusema ni daraja ila kivuko kidogo tu nacho kimeondoka,huku tupo kisiwani yaani parking za magari tunaacha gongo la mboto alafu tunavuka maji ya kiuno kwenda kazini what a shame..,huyo waitara ukiacha huku gongo la mboto huko kitunda na maeneo yake ndio hakufai kabisa,akiongea mishipa ya shingo imemsimama utafikiri anamaanisha kumbe hamna kitu, ameshaona ana 100 asilimia ya kutopata hata kura moja huku Ukonga,huko tarime mwaka huu akipita nitaamini wanasiasa ni washirikina hundred percent.

Kumbuka alivyopita Ukonga 2.0. Mwamuzi ni dola; kura hazihitajiki kabisa awamu hii. Labda dola imtupe.
 
Wewe John Heche tuliza kipago,pia muache ujenzi holela na uvamizi wa maeneo kisa tu na mimi na nyumba Dar
Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.

Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.

Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.

Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nilikuwepo maeneo ya kule.. Hali ya barabara kutoka Msongola mpaka Kitunda haitofautiani na njia ya kwenda kuzimu.
Tanroads/ Tarura waamke kwenye usingizi mzito angalau hata kwa kujenga makalavati na kuinua tuta maeneo ya mabonde ili bara bara ipitike.
 
Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.

Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.

Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.

Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.

Maendeleo hayana vyama!
Tarime wanajitambua labda apewe ubunge na polisi huku akiongoza tokea dar.Ameshindwa akiwa cdm akawadanganya ukonga eti sababu alikuwa cdm wakampa tena akiwa ccm kashindwa,kwa dar Jimbo la ukonga ndilo lenye miundombinu mibovu,mvua ikinyesha ni kisiwa
 
Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.

Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.

Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.

Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.

Maendeleo hayana vyama!
Tarime wanajitambua labda apewe ubunge na polisi huku akiongoza tokea dar.Ameshindwa akiwa cdm akawadanganya ukonga eti sababu alikuwa cdm wakampa tena akiwa ccm kashindwa,kwa dar Jimbo la ukonga ndilo lenye miundombinu mibovu,mvua ikinyesha ni kisiwa
 
Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.

Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.

Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.

Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani yeye ndiye kaleta mafuriko.
 
Maeneo mengi ya nchi bado miundombinu mibovu sana.
Labda utushangae wanachi wa majimbo mengi mno kuendelea kuchagua wabunge wale wale.

Kuwa mbunge/mwanasiasa lazima uwe mshirikina. Huwa nashangaa mpaka mtu anatumikia miaka yote 10+ akili watu wanakuwa wamemuazima nani?

Hio ndo kazi ya Moshi wa mwenge kulaza akili
 
Tarime wanajitambua labda apewe ubunge na polisi huku akiongoza tokea dar.Ameshindwa akiwa cdm akawadanganya ukonga eti sababu alikuwa cdm wakampa tena akiwa ccm kashindwa,kwa dar Jimbo la ukonga ndilo lenye miundombinu mibovu,mvua ikinyesha ni kisiwa
Lakini Dar si Mkoa wa Makamu wa pili wa Rais Bara??
 
Back
Top Bottom