Marshall plan
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 644
- 980
Mkuu nasikia unalitaka Jimbo😂, anyway Waitara alishajua ndio maana yupo kubadili uwanja wa mapambano. Wasaliti wote watalipwa October.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku gongo la mboto kulikuwa na madaraja matatu,la ulongoni B,pugu,na kinyerezi hayo mawili pugu na ulongoni yalishaondoka na maji miaka miwili au mitatu sasa,hili la kinyerezi siwezi kusema ni daraja ila kivuko kidogo tu nacho kimeondoka,huku tupo kisiwani yaani parking za magari tunaacha gongo la mboto alafu tunavuka maji ya kiuno kwenda kazini what a shame..,huyo waitara ukiacha huku gongo la mboto huko kitunda na maeneo yake ndio hakufai kabisa,akiongea mishipa ya shingo imemsimama utafikiri anamaanisha kumbe hamna kitu, ameshaona ana 100 asilimia ya kutopata hata kura moja huku Ukonga,huko tarime mwaka huu akipita nitaamini wanasiasa ni washirikina hundred percent.Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Bila kutaja Chadema huendi Choo? Waulize MaCCM wenzio walimpata wapiKiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Nchi hii imejaa kundi kubwa sana la wanasiasa ambao anapaswa kuwa LEBENSUWERTES LEBENS.Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Ww barabara na madaraja yatakusaidia nn kunywa bia tuHalafu jamaa ni naibu waziri na hayupo bungeni kushirikiana na waziri wake wa TAMISEMI kwenye bajeti ya wizara. Hili jamaa sijui kama zinamtosha kwakweli!
Huku gongo la mboto kulikuwa na madaraja matatu,la ulongoni B,pugu,na kinyerezi hayo mawili pugu na ulongoni yalishaondoka na maji miaka miwili au mitatu sasa,hili la kinyerezi siwezi kusema ni daraja ila kivuko kidogo tu nacho kimeondoka,huku tupo kisiwani yaani parking za magari tunaacha gongo la mboto alafu tunavuka maji ya kiuno kwenda kazini what a shame..,huyo waitara ukiacha huku gongo la mboto huko kitunda na maeneo yake ndio hakufai kabisa,akiongea mishipa ya shingo imemsimama utafikiri anamaanisha kumbe hamna kitu, ameshaona ana 100 asilimia ya kutopata hata kura moja huku Ukonga,huko tarime mwaka huu akipita nitaamini wanasiasa ni washirikina hundred percent.
Ni naibu waziri yule! Sio mbunge tuYaani unaamini kazi ya mbunge ni kujenga madaraja au kuzuia yasibomoke? Sijui aliyewaingizia Watanzania hii dhana ni nani, mbunge ni mwakilishi tu wa wananchi, ni mpiga kelele tu. BTW, vyombo vya habari vimeshatoa taarifa, wahusika (sio mbunge) watawajibika.
Vv
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi hii imejaa kundi kubwa sana la wanasiasa ambao anapaswa kuwa LEBENSUWERTES LEBENS.
basi tu tunakosa vitendea kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Tarime wanajitambua labda apewe ubunge na polisi huku akiongoza tokea dar.Ameshindwa akiwa cdm akawadanganya ukonga eti sababu alikuwa cdm wakampa tena akiwa ccm kashindwa,kwa dar Jimbo la ukonga ndilo lenye miundombinu mibovu,mvua ikinyesha ni kisiwaKiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Tarime wanajitambua labda apewe ubunge na polisi huku akiongoza tokea dar.Ameshindwa akiwa cdm akawadanganya ukonga eti sababu alikuwa cdm wakampa tena akiwa ccm kashindwa,kwa dar Jimbo la ukonga ndilo lenye miundombinu mibovu,mvua ikinyesha ni kisiwaKiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani yeye ndiye kaleta mafuriko.Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Maeneo mengi ya nchi bado miundombinu mibovu sana.
Labda utushangae wanachi wa majimbo mengi mno kuendelea kuchagua wabunge wale wale.
Kuwa mbunge/mwanasiasa lazima uwe mshirikina. Huwa nashangaa mpaka mtu anatumikia miaka yote 10+ akili watu wanakuwa wamemuazima nani?
Lakini Dar si Mkoa wa Makamu wa pili wa Rais Bara??Tarime wanajitambua labda apewe ubunge na polisi huku akiongoza tokea dar.Ameshindwa akiwa cdm akawadanganya ukonga eti sababu alikuwa cdm wakampa tena akiwa ccm kashindwa,kwa dar Jimbo la ukonga ndilo lenye miundombinu mibovu,mvua ikinyesha ni kisiwa