Kwa niliyoyashuhudia leo asubuhi, nakazia kusema kuwa Daladala ni usafiri wa maskini kutoka na watu wasiostaarabika

Kwa niliyoyashuhudia leo asubuhi, nakazia kusema kuwa Daladala ni usafiri wa maskini kutoka na watu wasiostaarabika

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Maskini wazee wa matusi na makasiriko wasiopenda kuambiwa ukweli watakuja kunisemanga lakini ukweli utabaki palepale.

Haiwezekani eti account inasoma positive ukanyang'anyane siti kwenye daladala. Haiwezekani account inasoma positive ukakae kwenye siti ya daladala huku chini umewekewa ndoo ya samaki yenye shombo.

Mama mmoja namfahamu alikuwa mama nitilie alikufa kwa kukanyagwa na tairi ya daladala Gongolamboto wakati akigombea usafiri.

Wengine wanajiona wajanja wanageuka na siti. Mtu mwenye ufahamu kidogo kichwani huwa anathamini muda kuliko hata fedha, sasa muda wa kuzungushwa huko kisha unarudishwa unakokwenda ni wastage of time na umaskini wa fikra.

Kwa vyovyote vile daladala hapa Tanzania ni usafiri wa kimaskini . Usifananishe public transport ya SA au UK na na hapa Dar es Salaam.

Jitahidi ununue gari, pikipiki au baiskeli utumie kama mbadala wa daladala.
 
Usafiri wa umma, sio wa masikini tu, shida sisi sio wastaarabu plus miundombinu inachangia..
Gari ya gongo inakuja moja wakati abiria wako 100, nyingine zoote zimekwama kwenye foleni, muda unaenda inabidi upambane ukae humo humo.

Mfano haya mabasi ya mwendokasi, yalifaa kuwa kielelezo cha ustaarabu, ila waendeshaji wanafanya kusudi kuwapakiza watu kama ng'ombe, mwisho wa siku unaona bora upande ka bolt mambo ya ishe, gari si mara zote ama sehemu zote utajisikia kwenda na gari.
 
Kweli kabisa
Yeah mkuu mim kuna mwaka niligombana na konda pale stand ya zaman ya haice morogoro ad tukafunga stand watu kibao ule ugomv alikuja kuumaliza mwenyekit wao wa madereva mana nilitaka kuondoka na condakta kwa kauli zake za ovyo,baada ya pale nikaona isiwe kes sitak kupata lawama na watu nikanunua boxer 150 aaah natamba nayo tu mda wwte ikitokea safar naluka nayo iwe usiku ama asubui,now nishasahau mambo ya usafiri wa umma huu mwaka wa 4 sasa.
 
Mmmh kuna watu nawajua wanaacha V8 ndani wanapanda daladala huyu sijui anaongea nini😂 mara ameanza kufananisha UK na Tanzania we mpumbavu nini?
 
Ni kweli kabisa, usafiri wa umma bongo ni trademark ya umasikini. Kama kweli mtu una pesa zako huwezi panda daladala Mbezi-Makumbusho nk, ni huu umasikini tu. Kuna wakati ni heri mtu kuwa na pikipiki yako kuliko kukanyagana kwenye usafiri wa umma. Shida ya hizo pikipiki ni kufa anytime...
 
Maskini wazee wa matusi na makasiriko wasiopenda kuambiwa ukweli watakuja kunisemanga lakini ukweli utabaki palepale.

Haiwezekani eti account inasoma positive ukanyang'anyane siti kwenye daladala. Haiwezekani account inasoma positive ukakae kwenye siti ya daladala huku chini umewekewa ndoo ya samaki yenye shombo.

Mama mmoja namfahamu alikuwa mama nitilie alikufa kwa kukanyagwa na tairi ya daladala Gongolamboto wakati akigombea usafiri.

Wengine wanajiona wajanja wanageuka na siti. Mtu mwenye ufahamu kidogo kichwani huwa anathamini muda kuliko hata fedha, sasa muda wa kuzungushwa huko kisha unarudishwa unakokwenda ni wastage of time na umaskini wa fikra.

Kwa vyovyote vile daladala hapa Tanzania ni usafiri wa kimaskini . Usifananishe public transport ya SA au UK na na hapa Dar es Salaam.

Jitahidi ununue gari, pikipiki au baiskeli utumie kama mbadala wa daladala.
Ukweli Mchungu...Umepiga kwenye mshono.
 
Thread moja unaipost kila baada ya mwaka, unatuchosha mkuu
 
Bila ya uwepo wa maskini tajiri atajulikanaje sasa..??..hivi watu wengine mnafikiri kwa kutumia makalio..???... Yaani unashangaa kukutana na kundi la maskini kwenye usafiri wa umma...
 
Ni kweli kabisa, usafiri wa umma bongo ni trademark ya umasikini. Kama kweli mtu una pesa zako huwezi panda daladala Mbezi-Makumbusho nk, ni huu umasikini tu. Kuna wakati ni heri mtu kuwa na pikipiki yako kuliko kukanyagana kwenye usafiri wa umma. Shida ya hizo pikipiki ni kufa anytime...
pikipiki ni usafiri mzuri sana. unakua hatari hapo tz kwa sababu ya aina ya watu wa hovyo wanaounda kundi kubwa la waendesha vyombo vya moto. tz kufa ni kugusa.
 
Maskini wazee wa matusi na makasiriko wasiopenda kuambiwa ukweli watakuja kunisemanga lakini ukweli utabaki palepale.

Haiwezekani eti account inasoma positive ukanyang'anyane siti kwenye daladala. Haiwezekani account inasoma positive ukakae kwenye siti ya daladala huku chini umewekewa ndoo ya samaki yenye shombo.

Mama mmoja namfahamu alikuwa mama nitilie alikufa kwa kukanyagwa na tairi ya daladala Gongolamboto wakati akigombea usafiri.

Wengine wanajiona wajanja wanageuka na siti. Mtu mwenye ufahamu kidogo kichwani huwa anathamini muda kuliko hata fedha, sasa muda wa kuzungushwa huko kisha unarudishwa unakokwenda ni wastage of time na umaskini wa fikra.

Kwa vyovyote vile daladala hapa Tanzania ni usafiri wa kimaskini . Usifananishe public transport ya SA au UK na na hapa Dar es Salaam.

Jitahidi ununue gari, pikipiki au baiskeli utumie kama mbadala wa daladala.
Itakua umekumbana na mambo magumu sana leo huko
 
Back
Top Bottom