Sababu kuu za babu zetu kuishi maisha marefu ni pamoja na hizi hapa
Wanawake wanachoka mapema kuliko wanaume hivyo kupelekea wakati mwingine unakuta mwanamke hana hamu tena ya kukutana na mme wake kimwili wakati mme bado damu inachemka, ukute hapo mmeshapata na wajukuu utakuta wife anachukua wajukuu zake analala nao ili usipate mda wa kumsumbua. Ili kuondokana na tatizo hili babu zetu walikuwa wanaona wake wengi (tena mke wa pili na kuendelea unakuta visichana vidogo) wapate mda wa kutunzwa hadi wanakufa. Mke mmoja anakuua.
Hiyo moja, zingine endeleeni wadau....
Weekend njema wakuu
- Ndoa za mitaala (wake zaidi ya mmoja)
Wanawake wanachoka mapema kuliko wanaume hivyo kupelekea wakati mwingine unakuta mwanamke hana hamu tena ya kukutana na mme wake kimwili wakati mme bado damu inachemka, ukute hapo mmeshapata na wajukuu utakuta wife anachukua wajukuu zake analala nao ili usipate mda wa kumsumbua. Ili kuondokana na tatizo hili babu zetu walikuwa wanaona wake wengi (tena mke wa pili na kuendelea unakuta visichana vidogo) wapate mda wa kutunzwa hadi wanakufa. Mke mmoja anakuua.
Hiyo moja, zingine endeleeni wadau....
Weekend njema wakuu