SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Hili swali nimejiuliza kwa muda mrefu sana na sijawahi kupata jibu.
Inakuwaje unaenda dukani unakuta muuzaji anauza mchele au karanga ambazo hazijachambuliwa?
Inafikirisha sana karne hii na zama hizi bado tunanunua mchele wenye mawe, na kwa kuwa unapimwa ule uchafu nao pia unalipia.
Hivi wafanyabiashara hawajaona kwamba ili kujitofautisha na washindani wao katika soko, akiweka kijana pale au mdada akachambua mchele wake au karanga, anaweza akajiongezea wateja?
Inakuwaje unaenda dukani unakuta muuzaji anauza mchele au karanga ambazo hazijachambuliwa?
Inafikirisha sana karne hii na zama hizi bado tunanunua mchele wenye mawe, na kwa kuwa unapimwa ule uchafu nao pia unalipia.
Hivi wafanyabiashara hawajaona kwamba ili kujitofautisha na washindani wao katika soko, akiweka kijana pale au mdada akachambua mchele wake au karanga, anaweza akajiongezea wateja?