Wadau naona wote mmechangia ila sijaona aliyetoa jibu sahihi katika hii hoja...Ni hivi miaka ya nyuma walikuwa wanachagua kwa kuzingatia matokeo yaliyotangulia katika hatua iliyopita.timu iliyofanya vizuri zaidi inapewa advantage ya kuanza ugenini..kwa mfano Chelsea walimfunga Benfica 1-0 ugenini na 2-1 nyumbani (agg 3-1) wakati Barca walidraw milan na kumfunga 3-1 AC Milan nyumbani..kwa sababu Chelsea walikuwa na aggregate sawa na Barca kwa hii old rule wangepewa advantage ya kuanzia away kwa sababu wana better away result,kwa kumfunga Benfica nyumbani kwake LAKINI old rule hii haitumiki kwa sasa badala yake wakati wanafanya draw ya hatua zote hadi fainali,sio tu draw ya nani anacheza na nani bali pia ya nani anaanzia wapi..Kwa mfano maneno ya mtangazaji " We are going for the semi final draw now,remember the first team to be drawn will be playing the first leg away.<<.balls rolling>>..Its Barcelona..so Barcelona will play the first semi final leg away against who?..<<balls rolling>>..Chelsea..so our first semifinal will be Chelsea vs Barcelona..